Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,077
- 464,004
Mlijitahidi sn nami pia sikua nyuma,,tatizo X yule hela jama hela hata nauli alishindwa akaniambia niombe list ktk magari ya wale jamaa wa kubeba koroshow
Safiiiiii.
Tudumu milele (mjomba unanipa machungu)
Habari ndio hiyoKabisa my swi hatuachani kizembe
Wewe aga unaenda kulalaNaenda kumalizia rwaya ya "Nyuma yako"
ntarudi badae
....alinifukia na sasa ananichimba, mwanzoni nilipoona naomba hela nikapewa ya twisheni niwe nakuambia maneno matamu matamu ya kiinglishi, machale yakaanza kunicheza. Inakuwaje mtu anakupa hela huku anatabasamu



D hajambo
Basi hapo tumosa anajiona mneneNaanzaje kumdanganya mzazi mwenzangu
![]()
![]()
![]()
![]()
binamu ana simu mpya na saa nzuri bkweli
Nahisi hajamboD hajambo
...na juzi nimenunua chandarua cha pembenne, yaani kina mlango kabisa, sio vile vyandarua vyenu vimekaa kama linguo la mashine ya kusagia unga. Chandarua classicmbu kuingia hadi wabishe hodi




TutakomaaaaaHuyo ni binamu yangu mi nilipotea sababu mzigo wangu wa korosho tani 10 nilizoagiza kwa dola 1999 umezuiliwaMakubwa haya we mzee ulipotolea wapii huyo kwa avatar ndio mnafanana
Bahati mbaya sn umechelewa,Baada ya uteuzi tuu mambo yakawa fresh ss nakunywa juice ya malimao(usiniulize kwa nn)
Anaweza mwaga manyanga na yy
Yuko wapi siku hiziNahisi hajambo
![]()
![]()
![]()
wavaa shanga sio watu wazuri