Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,077
- 464,002
Haya binamu toa shikamoo ukuLive bila hofu
Haya binamu toa shikamoo ukuLive bila hofu
Ubahili wa binamu yangu,,wakat pesa ya korosho anayo
MweeeHahhahha wamemwagana
Shemela mimi na Tumosa ni maji na udongoMary umemuona baba wawili wake tumosa Ila sasa hivi tumosa ameachwa sema tumosa ameachwa lakini haachiki
...mtoto mashetani yake hayapendi hela, mimi nahela na nasubiri wanajeshi waanze kutulipa hela zetu za korosho, yaani nitakuwa na hela, hasara kwake

Pole sn lala ukiamka kesho utakua fresh kbsHahahaha, Mjomba ana maumivu mwili mzima
Najipoza kwa Shayo hapa,nikalale
OoooyeeeeeHahahaha
Mmmh,unahisi ni Mara moja?
Vzr Aman iwepo ,tupotezee tu
Tuheshimu maamuzi ya MTU ndio la msingi
Makapuku oyeeee
HahahahaMakubwa haya woiii kumbe mpo serious jamani
Kwahiyo shangazi mm aka jiwe ningekulwa bila kujijua mwenyewe najua matani kumbeee
Naona umevaa jezi niliyokuletea niliporudi Bunju kutoka LondonHaya binamu toa shikamoo uku
Mary umemuona baba wawili wake tumosa Ila sasa hivi tumosa ameachwa sema tumosa ameachwa lakini haachiki
kwa umbea sikuwezi

Hahahhaha...jamani sijalipwa binamu yenu, kuna watu wana nia ovu na mimi wanatangaza nimelipwa. Tulikuwa tunahakikiwa wakulima kwanza kuona kama tuna vyeti, sasa zoezi limeisha tumepewa barua tunasubiri hela
Kifwala kabisa![]()
![]()
![]()
Tena wameachana kweupe mbele yanguMweee
Safiiiiii.Hahahaha
Makapukuuuuu safiiiii?
Wadumu makapuku
Shemela ebu kuwa mkweli kumuacha binti wa watu huku unamdanganyaShemela mimi na Tumosa ni maji na udongo
Una mchimba Aiseee![]()