Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mkulu kumbe na wewe ni mr uvumilivu....njia pekee ya Arsenal kuwa salama Msimu huu basi ni kuomba Mustaph na Koscielny warudi haraka katika safu ya ulinzi..... Kwa kuendelea kuwasimamisha Nacho, Holding na Kolasinac kama mhimili wa eneo la ulinzi kwenye michezo ya ligi kuu ni kuendelea kujicementing katika nafasi ya sita.

Ebwanaaadaaaaaaaah ....Alexander Lacazete shikamoo mzee, kile kichwa ni record nyingine kabla ya lile goli..... Umetuletea Zawadi katika EPL Msimu huu. Unaweza kucheza nje ya box, unamudu vyema ndani ya box.... Kizungu wanasema "what a player"

Craig Shakespeare ...alikuwa ana mjaribu mzee Wenger kama akili inafanya kazi. Kuna wakati uwanja uliinamia golini kwa arsenal, hapo kila mtu aliwahurumia na kuwa cheka Arsenal ila kuna wakati wa uwanja uliinamia golini kwa Leicester city na mbaya zaidi walishindwa kujua chakufanya katika mipira iliyokuwa inakwenda katika box la Leicester city.
...anyway mr wenger ndo kawaida yake kuongoza kabla ya ligi na pindi ligi inapoonza mengine ya baadae ni majaliwa ...

Mm droo inanitosha
Pole sana na kipigo
 
1710cd647c713d23264ffc0b215f379e.jpg
 
Kuvumiliaje koncho zaidi ya ulivyomvumilia jamaan koncho acha nikupe pole najua upo kwenye mahusiano hayo ila acha maisha mengine yaendelee jamaan haujazaliwa naye huyo mmekutana ukubwani tu mapenzi kweli yanaumiza lakini Mungu kaumba kusahau utamsahau tu utampata tu atakayekupenda wewe kama unavyompenda mkuu
Hapana Shunie sivyo nilivyo nilikuwa nawaongelea watu wengine wenye mapenzi ya aina hiyo mimi mtu akinizingua natemana nae.
 
Liver wana kipa Mjerumani wanamkalisha tu benchi
Simon Mignolet kila msimu anaigharimu timu kwa kufanya makosa ya kiboya hata leo kabla ya kufungwa goli la 3 kiboya alishafanya kosa la kuudodosha mpira na kidogo tu aharibu

Nitashangaa mechi ijayo akipangwa
.....
Sijui klopp karogwa cz mwishoni mwa msimu uliopita alikir km liver inahtaj kipa mwingine

Tycoon MAKAVELI Jr.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom