Makapuku Forum

Makapuku Forum

0f73fa5d3777a9b937a6356d2e183aba.jpg
 
Ebana eeh vipi baridi huko?
Wasalimie Dochi na Sinza
Hivi barabara ya mjini from IJA washapiga lami upya na kuitanua?
Au basi/daladala zinaishia bado bado pale shuleni/uwanjani Shambalai?

Usishau kutuletea matunda damu sado zima buku mbili haivuki km sijakosea
......
Asubuhi na usiku kama hivi kuna baridi sana, harafu inapenya balaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom