makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,892
- 104,120
Game ijayo wana kazi na tottenhamIla ujinga wao wa kupigwapigwa red utawagharimu zaidi
.....
Tycoon MAKAVELI Jr.
Game ijayo wana kazi na tottenhamIla ujinga wao wa kupigwapigwa red utawagharimu zaidi
.....
Huko nilishapazoeaAsubuhi na usiku kama hivi kuna baridi sana, harafu inapenya balaa
Anatoka mhabeshi anaingia mhabeshiNimeamka poa maka sijui wewe huko
Chalii au ubavu wa kulia.. bt chalii ndio zaid.Unalalaga chalii
Shemela umeanza hii avatar sijui kama ina maisha marefuAnatoka mhabeshi anaingia mhabeshi
Swalama jiran, wajionaje na hali!?Jirani za jioni
Mpuuz yule.. akala kona mwenyewe..
Kwanza wee godolo lako umelitoa juani, na leo ukilikojolea kesho utalala chin..![]()
![]()
Tycoon MAKAVELI Jr.
kiko..zi!!Haya sijui unacheka nini. Au ni kiazi mbatata?
Uzi uendelee kuwa hivihiviMpuuz yule.. akala kona mwenyewe..
Kwanza wee godolo lako umelitoa juani, na leo ukilikojolea kesho utalala chin..![]()
![]()
Tycoon MAKAVELI Jr.
Long time jiran hatujakaa tukachek mpira pa1 toka enz za sweetiepie..Jirani za jioni
Ohooo....
..