Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Salama baba wawili hbr ya ugenini hkoMama JJ za jioni
Benchi yupo Mjerumani anachoma tu mahindiSijui klopp karogwa cz mwishoni mwa msimu uliopita alikir km liver inahtaj kipa mwingine
Tycoon MAKAVELI Jr.
Aahh.. huko ndio umebobea we fuatlia mamuv yao ya kichaw utagundua vitu vingi vilivyojificha.. cz nyingine huwa ni story ya ukweli kabisa..Kumbe mpaka majuu uchawi upo!
Lala kifudifudi banaaChalii au ubavu wa kulia.. bt chalii ndio zaid.
Tycoon MAKAVELI Jr.
Aku.. mie sijasema kama alimaanisha hvyo, mie nmekuuliza tu unaikumbuka..Ale dusheleleee...waegoo
Naikumbuka kumbe ndio alimaanisha dushe !!!
Mpuuz yule.. akala kona mwenyewe..
Kwanza wee godolo lako umelitoa juani, na leo ukilikojolea kesho utalala chin..![]()
![]()
Tycoon MAKAVELI Jr.
wenzio huyo ni kaka etu ujue,mambo ya kumuaibisha hadharani tunaona aibu sie

Hana jina shemela huyo unayempa hongeraHongera kwa 261K
Weye nawe ukipewa kichwa cha habar tu.. habar nzima wamalizia ww..Ale dusheleleee...waegoo
Naikumbuka kumbe ndio alimaanisha dushe !!!
Weye nawe ukipewa kichwa cha habar tu.. habar nzima wamalizia ww..![]()
![]()
Tycoon MAKAVELI Jr.




We ni jogoo wa anfield kumbe..Mkulu kumbe na wewe ni mr uvumilivu....njia pekee ya Arsenal kuwa salama Msimu huu basi ni kuomba Mustaph na Koscielny warudi haraka katika safu ya ulinzi..... Kwa kuendelea kuwasimamisha Nacho, Holding na Kolasinac kama mhimili wa eneo la ulinzi kwenye michezo ya ligi kuu ni kuendelea kujicementing katika nafasi ya sita.
Ebwanaaadaaaaaaaah ....Alexander Lacazete shikamoo mzee, kile kichwa ni record nyingine kabla ya lile goli..... Umetuletea Zawadi katika EPL Msimu huu. Unaweza kucheza nje ya box, unamudu vyema ndani ya box.... Kizungu wanasema "what a player"
Craig Shakespeare ...alikuwa ana mjaribu mzee Wenger kama akili inafanya kazi. Kuna wakati uwanja uliinamia golini kwa arsenal, hapo kila mtu aliwahurumia na kuwa cheka Arsenal ila kuna wakati wa uwanja uliinamia golini kwa Leicester city na mbaya zaidi walishindwa kujua chakufanya katika mipira iliyokuwa inakwenda katika box la Leicester city.
...anyway mr wenger ndo kawaida yake kuongoza kabla ya ligi na pindi ligi inapoonza mengine ya baadae ni majaliwa ...
Mm droo inanitosha