Makapuku Forum

Makapuku Forum

IMG_20170812_203010_927.JPG


Madame S
 
Mkulu kumbe na wewe ni mr uvumilivu....njia pekee ya Arsenal kuwa salama Msimu huu basi ni kuomba Mustaph na Koscielny warudi haraka katika safu ya ulinzi..... Kwa kuendelea kuwasimamisha Nacho, Holding na Kolasinac kama mhimili wa eneo la ulinzi kwenye michezo ya ligi kuu ni kuendelea kujicementing katika nafasi ya sita.

Ebwanaaadaaaaaaaah ....Alexander Lacazete shikamoo mzee, kile kichwa ni record nyingine kabla ya lile goli..... Umetuletea Zawadi katika EPL Msimu huu. Unaweza kucheza nje ya box, unamudu vyema ndani ya box.... Kizungu wanasema "what a player"

Craig Shakespeare ...alikuwa ana mjaribu mzee Wenger kama akili inafanya kazi. Kuna wakati uwanja uliinamia golini kwa arsenal, hapo kila mtu aliwahurumia na kuwa cheka Arsenal ila kuna wakati wa uwanja uliinamia golini kwa Leicester city na mbaya zaidi walishindwa kujua chakufanya katika mipira iliyokuwa inakwenda katika box la Leicester city.
...anyway mr wenger ndo kawaida yake kuongoza kabla ya ligi na pindi ligi inapoonza mengine ya baadae ni majaliwa ...

Mm droo inanitosha
We ni jogoo wa anfield kumbe..

Tycoon MAKAVELI Jr.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom