Makapuku Forum

Makapuku Forum

100%

Huko kwingine kujilegeza, eti mtu ukipenda ndio kapenda yeye nani wa kpenda tu hata km anakukera mama yako mzaz au.. km tungekuwa tumezaliwa pamoja labda ningefkiria sababu tumeanza kuwa pa1 tumbon, lakin haya ya kukutana dunian tu ndio jnipe presa tena hii dunia yenye watu bilion 7 na upuuz, akwende tuu, sikuanza na yeye n pia hawez kuwa wa mwisho..

Kwa wanyonge hali kama hii ni kujipa maneno ya kishujaa, unajichanganya na watu.. ila ukiwa pekee yako pekee yamo unaweza kufa km hujazoea, ndio hawa unakuta kaishaachana na mtu bado anamfata fata, hyo inaonesha unamzikia bado n yeye ndio anapata nafas ya kukuumiza zaid

sent using my nokia ya tochi
Ewaaaaaa kunywa kinywaji chochote maka bill ije kwangu
 
Mara nyingine mtu anaamua kuendelea kuishi nae ili aone kama atabadilika maana yake anamvumilia.
Kuvumiliaje koncho zaidi ya ulivyomvumilia jamaan koncho acha nikupe pole najua upo kwenye mahusiano hayo ila acha maisha mengine yaendelee jamaan haujazaliwa naye huyo mmekutana ukubwani tu mapenzi kweli yanaumiza lakini Mungu kaumba kusahau utamsahau tu utampata tu atakayekupenda wewe kama unavyompenda mkuu
 
b922db7c88063cbd3ac509e86a26e8f9.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom