makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,893
- 104,126
Maisha hayana formula, ishi kwa principle zako unazoziamin, usijaribu kuiga kwa mwingine sababu yeye anaishi maisha yake na si yako.. ukiiga umefeli, maisha ni mtihani sasa ukicopy na kupaste utaumia tu cz yawezekana maswal yaliyo kwenye pepa yako c yaliyokuwepo kwenye pepa yake..DID YOU KNOW?!![]()
Tycoon MAKAVELI Jr.