Maserati
JF-Expert Member
- Jun 15, 2014
- 11,602
- 20,098
Ha ha ha ha ha ha.....Kuna nchi, mamlaka ya anga ilitoa tangazo kuwa wachaw wanaruka sana nait wanasumbua sijui vyombo vyao sijui nini.. halaf si nchi ya africa.
Tycoon MAKAVELI Jr.

Ha ha ha ha ha ha.....Kuna nchi, mamlaka ya anga ilitoa tangazo kuwa wachaw wanaruka sana nait wanasumbua sijui vyombo vyao sijui nini.. halaf si nchi ya africa.
Tycoon MAKAVELI Jr.

Hutaki nikuite babu jamani? Kwanini unichukie wakati huyo mjukuu wako hana tatizo na mimi?Halafu wewe mimi sio babu yako eeh.... wewe unashindana na mjukuu wangu... Sikupendi wewe
Shikamoo babuMarhabbaaa... Uko poa wewe?
Unajua Sipendi mjukuu wangu avurugweHutaki nikuite babu jamani? Kwanini unichukie wakati huyo mjukuu wako hana tatizo na mimi?
Mpendwa wa obe na ww una mambo kweli
Halafu wewe mimi sio babu yako eeh.... wewe unashindana na mjukuu wangu... Sikupendi wewe

Demi hujambo!?Hutaki nikuite babu jamani? Kwanini unichukie wakati huyo mjukuu wako hana tatizo na mimi?
Sijambo mkuu, habariDemi hujambo!?
Tycoon MAKAVELI Jr.
Hajavurugwa bali namsaidia majukumu. Kulea kidume kama lee empire si kazi rahisi. Hatutaki mume apate shidaUnajua Sipendi mjukuu wangu avurugwe
Lakini hajakuomba msaadaHajavurugwa bali namsaidia majukumu. Kulea kidume kama lee empire si kazi rahisi. Hatutaki mume apate shida