Makapuku Forum

Makapuku Forum

Lol! Yaani anko tangu nimwambie tu twende kwenye kisomo basi kishaniona mshirikina kweli, loh! Ngoja nikatete naye nimwambie ni kwa sababu tu ya penzi la ukweli ulilonalo kwake, yaani hadi anajionea wivu, akiwa anaongea na wewe masikio yake yanauonea wivu mdomo. ukianza kula kirungu mpweke ....hivi naandika nini sasa utasema mimi niko feri navua
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom