Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Sasa si nimecopy alivoandikaa yeyeUsishangae na wakati wewe ndio mwandika list me namwachia Mungu tu
Sasa si nimecopy alivoandikaa yeyeUsishangae na wakati wewe ndio mwandika list me namwachia Mungu tu
Lee empire mzee wa totoz ungemalizia tu binamu
BabuNi naniiiii?
Usijitoe Baba DHapanaaa list ya kwanza ni yakeee
ViaziiiiiKung'oa nini tena?
Yah am okay
Mlichangiaa ..list umeionaaaNani aliweka matangazo
Mbona unajitoa tena na wakati lenu mojaMnyoosheee
Usishangae na wakati wewe ndio mwandika list me namwachia Mungu tu
Upande wa pili wa nini tena jamanKwa mara ya kwanza nimejua upande wa pili wako japo mm ndo mpendwa wakoo....
Mmmmmmmh...aunt gudu moningi, hivi saa hizi saa ngapi? Mimi bado nimelala sijaamka? Kuna jipya gani humu kwani maana naona ukunguukungu tu.
Mimi na wewe shangazi tunajaliana sana, hatuwezi kusemana kwa ubaya, ukiona nakusema vibaya ujue simu sinayo nimeipeleka chaji
Msema ukweliiiUsijitoe Baba D
Yaaani Nakupenda husemi uwongo... Wala kumpa mtu ukweli wake hushindwi hata kama mjomba wako...kama vipi na yeye tumuongeze, au anko una maslahi binafsi? Maana wewe kukuwekea dhamani japo uko mjomba wangu kwenye haya mambo siwezi kukudhamini aisee
Yaan sasa hivi nikitaka kukuudhi tu shikamoo baba d wangu
Sasa si nimecopy alivoandikaa yeye
Nani aliweka matangazo
Yaaani C unakubali mimi mnafiki... Sawa banaHapo sawa nimekuelewa
Sikutegemeaa kama utamuunga mkonyo binamuUpande wa pili wa nini tena jaman
Binamu wewe sio wa kuniandika me kuwa mbaya wako kweliii unakiuka makubaliano tuliyokubaliana nashkuru binamu msalimie mama ashura unapochaji simu...aunt gudu moningi, hivi saa hizi saa ngapi? Mimi bado nimelala sijaamka? Kuna jipya gani humu kwani maana naona ukunguukungu tu.
Mimi na wewe shangazi tunajaliana sana, hatuwezi kusemana kwa ubaya, ukiona nakusema vibaya ujue simu sinayo nimeipeleka chaji