Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kweli nilimalizana nao kilichotokea jana nimeona hawajazilinganisha ni nyingi sana zipo fupi mtu unatoa hela nyingi halaf wanakufanyia vituko nikampigia boss wao usiku nikamwambia sijapenda mbona hivi na hivi akaniambia basi njo kesho turekebishe
Ooooooh polee fanya urudiiiii ....usisahau uthibitisho
 
Binamu haujaelewa ujue yaan hiyo safari wewe ndio umenipeleka kwa mganga ujue

Lol! Yaani anko tangu nimwambie tu twende kwenye kisomo basi kishaniona mshirikina kweli, loh! Ngoja nikatete naye nimwambie ni kwa sababu tu ya penzi la ukweli ulilonalo kwake, yaani hadi anajionea wivu, akiwa anaongea na wewe masikio yake yanauonea wivu mdomo. ukianza kula kirungu mpweke ....hivi naandika nini sasa utasema mimi niko feri navua
 
Lol! Yaani anko tangu nimwambie tu twende kwenye kisomo basi kishaniona mshirikina kweli, loh! Ngoja nikatete naye nimwambie ni kwa sababu tu ya penzi la ukweli ulilonalo kwake, yaani hadi anajionea wivu, akiwa anaongea na wewe masikio yake yanauonea wivu mdomo. ukianza kula kirungu mpweke ....hivi naandika nini sasa utasema mimi niko feri navua
Asanteee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom