Makapuku Forum

Makapuku Forum

Binamu wewe sio wa kuniandika me kuwa mbaya wako kweliii unakiuka makubaliano tuliyokubaliana nashkuru binamu msalimie mama ashura unapochaji simu


simu ninaichajia kwa Queen,

aunt niamini kabisa sijaandika lolote la kukutuhumu maana wewe una moyo na tuna makubaliano.

Ila wakati nimelala nikawa kama naota vile watu wanaandika mambo ya kuukera moyo wako, nitawafuatilia niwakanye
 
simu ninaichajia kwa Queen,

aunt niamini kabisa sijaandika lolote la kukutuhumu maana wewe una moyo na tuna makubaliano.

Ila wakati nimelala nikawa kama naota vile watu wanaandika mambo ya kuukera moyo wako, nitawafuatilia niwakanye
Wakina nani hao binamu waliokua wanaandika mambo ya kuukera moyo wangu tena
 
Binamu me nimeshamaliza jaman najua wazuri wangu ni kina nani na wabaya pia maana mpaka baba d kaamua kuwa mbaya wangu

...yaani mtu mzuri kwako humu ni mimi tu. Huyo baba D mimi nilikuwa najua tangu siku nyingi ndo maana nikakushauri uniruhusu niende BOT nikaweke tangazo kwenye noti ya buku ten , sasahivi asingekuwa mbaya wako tena
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom