Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Na kwako pia asanteHabari za asubuhi mabibi na mabwana
Wake kwa waume
Wakubwa kwa wadogo
Niwatakie wiki yenye baraka
....
Na kwako pia asanteHabari za asubuhi mabibi na mabwana
Wake kwa waume
Wakubwa kwa wadogo
Niwatakie wiki yenye baraka
....
SitakiiiiiYaan lazima tu niende baba d sitachelewa mpaka mchana nitakua nimesharudi na jana niliwapigia simu
Kazi ipo aiseeLini Baba D alikwambia anampenda Ronaldo
Kweliiii kabisaaa..ujue nini anko, huyu ndo mbaya wetu
Yeye atamwachia shetaniUsishangae na wakati wewe ndio mwandika list me namwachia Mungu tu
Wale wa kina nani tena Baba D naomba tu niende hivi nisingekwambia ungejuaje jamanSitakiiiii
Au nenda ukirudiii hunikutiii kama ya walee
Ahahaha yaan nyie..ujue nini anko, huyu ndo mbaya wetu
Marahaba Mjukuu wangu mpendwa... Hujambo?Babu shikamoo
Ahahahha shemela umesema weweYeye atamwachia shetani
Asante kwa kuona shemela wanguShemela nimeona
Duuh
Niambie waendaa kulee kwa juz?? Si ulimalizanaa nao ,?Wale wa kina nani tena Baba D naomba tu niende hivi nisingekwambia ungejuaje jaman
Namshukuru Mungu babu sijambo sanaMarahaba Mjukuu wangu mpendwa... Hujambo?
Haaaaahaaaa aisee...aunt gudu moningi, hivi saa hizi saa ngapi? Mimi bado nimelala sijaamka? Kuna jipya gani humu kwani maana naona ukunguukungu tu.
Mimi na wewe shangazi tunajaliana sana, hatuwezi kusemana kwa ubaya, ukiona nakusema vibaya ujue simu sinayo nimeipeleka chaji
Ananiambia hivi binamu obe ajakupeleka kwa mganga kweli ili me nikupende
Kweli nilimalizana nao kilichotokea jana nimeona hawajazilinganisha ni nyingi sana zipo fupi mtu unatoa hela nyingi halaf wanakufanyia vituko nikampigia boss wao usiku nikamwambia sijapenda mbona hivi na hivi akaniambia basi njo kesho turekebisheNiambie waendaa kulee kwa juz?? Si ulimalizanaa nao ,?
Kwamba ni Rafiki yako kipenzWewe tushakujuaa