Nimeandika kwa utani tu mdauHiyo ni avatar tu mkuu
Sent from my iPhone 5s using Tapatalk
yaani hata sasa sijamuelewa maana kama ni Mkushi wa kusi hawezi yeye hana muda wa kwenda hadi morogoro, wakati mwingine nakuwa namfikiria Mondray ndo anahusika
Usiondoke
Jimena nafikiri nae ataleta historia
....
HahahahahahahAnko lee empire nakutakia usingizi mnono. Ukitaka msaada zaidi namba za ambulance nazijua
YaaaapYa huko nikifika mana ndio natoka
KaribuHabari zenu wadau...leo nimepita huku kuwasalimu
Sent from my iPhone 5s using Tapatalk
Pamojaashululu asante kwa magazeti, yanatufanya tuhabarike sawia.
Shukrani lee empire kwa hadithi na UF
Asante Shunie kwa sala na asante husna muba kwa hadithi
Zaidi asante wewe uliyeamka nasi.
Tutaonana jioni tena, tuwe na wakati mzuri. Love
Huyo giggy ndo nani? Anyway namuachia Obe.

Kaka ameopoaaaLove you too