Makapuku Forum

Makapuku Forum

IMG-20170731-WA0000.jpg
Sina la ziada kutoka magazetini Tukutane tena kesho

Nawatakieni siku njema
 
Karibu huku ndo kwetu ....hope utaenjoy ila samahan sijakutambulisha kwa binamu wangu wa faida wa kuitwa obe ...atakachokwambia mwambiee wewe ni wa mond


Anko, umeamka salama naamini. Hata mimi pia. Huyu Curious gal nilitaka kumwambia kuwa mimi niko na mdada ninayemfurahia upeo yaani akiomba tano anapata kumi akiomba moyo nampa roho, akikohoa mimi natema, akiniambia nikachekee chooni mimi nachekea kwenye tundu kabisa. Na akisema ninawe uso mimi naoga kabisa na akisema hapendi jino langu la njano mimi naling'oa kabisa.

Sasa nitamwambia nini yeye kwa mfano
 
Anko, umeamka salama naamini. Hata mimi pia. Huyu Curious gal nilitaka kumwambia kuwa mimi niko na mdada ninayemfurahia upeo yaani akiomba tano anapata kumi akiomba moyo nampa roho, akikohoa mimi natema, akiniambia nikachekee chooni mimi nachekea kwenye tundu kabisa. Na akisema ninawe uso mimi naoga kabisa na akisema hapendi jino langu la njano mimi naling'oa kabisa.

Sasa nitamwambia nini yeye kwa mfano
Hongera sana kwa kuwa na upendo wa dhati kwa girlfriend wako
 
Hi hi hi hi hi hi binamu binamuu ...ebhu kwanza nikitafute hiki kiporo mpasho mpashano ....


Ndo maana anko ninasema yale mambo ya kupigana hayafai, twende kwa fundi ukafanye yako.

Ila usifanye kama ulimvyomtenda yule msaidizi wa mganga Zuwena pale uliponisindikiza nikatafute dawa ya kupandishwa cheo
 
Anko, umeamka salama naamini. Hata mimi pia. Huyu Curious gal nilitaka kumwambia kuwa mimi niko na mdada ninayemfurahia upeo yaani akiomba tano anapata kumi akiomba moyo nampa roho, akikohoa mimi natema, akiniambia nikachekee chooni mimi nachekea kwenye tundu kabisa. Na akisema ninawe uso mimi naoga kabisa na akisema hapendi jino langu la njano mimi naling'oa kabisa.

Sasa nitamwambia nini yeye kwa mfano
Bhinamu heshima yako ....

Naomba unipe mrejesho ...yule mtu uliyetaka kunisaidia namba za emergency mmemalizana vipi

Nina moyo ujuee
 
Hii hadithi ya Mr X inakoelekea sasa inanichanganya Isidingo si isindingo utasema Days of Our Lives, yaani niliyemdhani stelingi kumbe anakufa kwenye maua.
Asante mjomba kitu iko so suspenseful and touchy naifuatilia kwa uzuri kabisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom