Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Sio wewe tu ata fakeYaan sasa hivi nikitaka kukuudhi tu shikamoo baba d wangu
Sio wewe tu ata fakeYaan sasa hivi nikitaka kukuudhi tu shikamoo baba d wangu
Binamu me nimeshamaliza jaman najua wazuri wangu ni kina nani na wabaya pia maana mpaka baba d kaamua kuwa mbaya wangu...yaani mwachie tu, mimi nashangaa yaani jina lako katumia makapeni kabisa. Kwa kweli amekukosea sana, mimi siijui hii list. si unajua kwenye list yangu wewe haupo? Jina la kwanza kwa wabaya wangu ni demi
Mnyoosheee
Shemela wa mimi apa za kwakoBaba D asante sana kwa story ila ya leo imenivuruga tu jamaan
Kwa wakina mama ashura hakuna umeme ....binamuu anapenda gizaa kweliiiiBinamu wewe sio wa kuniandika me kuwa mbaya wako kweliii unakiuka makubaliano tuliyokubaliana nashkuru binamu msalimie mama ashura unapochaji simu
Hata mkiwa chemba nawasikia mjue.... Huko hataenda habari zangu.. Atakupa habari zake... Ukizubaa tu unakuwa mchepuko wa kumi.... Ha ha ha ha haOh, kulikuwa na typo nyingi sana nimerekebisha. Kung'oa yupo mzee humu ndo kazi yake, njoo chemba nikupe namna ya kujikinga naye
Wewe ulivyopewa list ya wababya wa binamu na kuna jina langu kwa nini usinitoeSikutegemeaa kama utamuunga mkonyo binamu
Ha ha ha ha ha...mjomba njoounisafishie jina langu kabla sijachukua maamuzi magumu kama ya kipindi kileeee
Ndo tuulizane make nimechukia sana kuona mchaji simu ushaanza kwenda make nakujuaa hunaga mojaaa ...simu najua itazaaa menginee...ushaanza kunigeuka sasa, mbona unapenda kunichonganisha na aunt yangu mpenzi jamani. Hivi wewe mimi ni ndugu yako kweli?
Hata me nashangaa ungejua nikiwa nae anakusema sana binamu...ushaanza kunigeuka sasa, mbona unapenda kunichonganisha na aunt yangu mpenzi jamani. Hivi wewe mimi ni ndugu yako kweli?
Safi shemela wangu umeamkaje jamanShemela wa mimi apa za kwako
AhahhahahaKwa wakina mama ashura hakuna umeme ....binamuu anapenda gizaa kweliiii
Babu shikamooHata mkiwa chemba nawasikia mjue.... Huko hataenda habari zangu.. Atakupa habari zake... Ukizubaa tu unakuwa mchepuko wa kumi.... Ha ha ha ha ha
Ha ha ha haZile namba za emergency usihofu, huyu mtu tunamroga halafu yeye ndo ataita ambulance
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha binamu njoo uonee mm navonuniwaa hapa tamu nanyimwa wikiii ...Binamu me nimeshamaliza jaman najua wazuri wangu ni kina nani na wabaya pia maana mpaka baba d kaamua kuwa mbaya wangu
Sasa hv tutamjua mnafiki naniUsifike ukoo nakuomba
Unamjuaa binamu unamsikiaa ....mm kaniambia niandikee ndoo maana nikawa ana wasiwasi ..makapeni inamaanisha wewe sio mbaya ni mtu wa tofauti unayemtakiaa mabayaWewe ulivyopewa list ya wababya wa binamu na kuna jina langu kwa nini usinitoe
Kama nakuonaaaaaaaaaa
Kumbe muoga....yaani unamsifu mtu ambaye anakuwa mwaminifu kwa mtu mmoja tu? Lol, kimaadili timilifu ukiwa mwaminifu kwa mtu mmoja huwezi kuwa mwaminifu.
Kuwa mwaminifu ni lazima uwe mwaminifu kwa wengi..
Serious Note: Haya maneno ya juu sijaandika mimi, msijenipakazia kwa la habibti wangu. simu iko nachaji kwenye kibanda cha mpesa