Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
...anko tuliza kwanza, habari nyingine sio za kuziweka fondi fenti, ziweke kwenye habari za international watu hawasomagi sana.
Kama simu unayo wewe basi roho yangu imetulia, pale nilipowaacha na yule nesi nilijua kanichomolea simu yangu. yaani hata maombi nimeyafanya huku roho inadundadunda

Mara Judy mara nesi kesho mtasema mama ashuraNa hapaa nasomaa ulichomwandikiaa judy ....hivi binamu unanitakiaa nn lakin ...
...mbona unaweka mikono kichwani utasema umekatikiwa shanga kwenye daladala la mbagala

NtabhobhaaEgoooo, Nagutogwile Mwanikee
Dagaa zina madini ya chuma, afu ukizitia na nyanyachungu basi joto lile la kupendeza kuingiliana maungoni sio kama wanamieleka. wanaingiliana maungoni wamevaa chupi halafu ukiuliza eti wanagombea mkanda?
wanagombea mkanda huku wamevaa chupi!!
Endelea kula dagaa mpenzi wangu

Hapana, kusema uongo ni dhambi na tangu nimekuwa na wewe bora niseme maneno yasiyo ya kweli ila uongo sitaki kusema tena

Mimi na anko wangu sasa hivi tunachofanya sio kupigana. Hatupigani tena, ni kukuroga tu na ninaona kabisa unanipa vishawishi vya kukuroga.
Husna aachwe apumzike na mimi

Karibu mkuuHello family
Hello my Shunie....
Missing you a lot....
See you guys around!!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nmependa ulivyojenga hoja,unaonekana unaelewa na unafahamu vizuri namna ya kujenga hoja....Kile kitu kwamba ni dhana nakijua na pia hizo thread nishawahi kusoma
Sasa niliandika mada lengo likiwa ni kuonyesha magonjwa yanayosababisha vifo vingi duniani
Hivyo uwasilishaji wa taarifa inabidi samtaimu uegemee kwenye ishu husika(utabibu) halafu watu kama nyie na wengine nao wataongea mnavyojua ndo kama alivyofanya Jimena zen mgongano wa mawazo unasababisha watu wapate elimu pana zaidi
Shukrani kama umenielewa
.......
Ni poaNiajee makapuku ..habari za masiku? Mpooo. ..nawasalimu tu! Namna gani!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Cha kuchanjiwa Jani sio wembe![]()
![]()
![]()
![]()
Na kidono unacho
AhsanteeeNmependa ulivyojenga hoja,unaonekana unaelewa na unafahamu vizuri namna ya kujenga hoja....
Nikirudi kwenye hoja husika ni kwamba ni kweli kabisa mgongano wa mawazo unaleta elimu kwa wasikilizaji au wasomaji,lakini ukweli utaendelea kubaki vile vile tu siku zote na ukweli hauwezi kuathiriwa na mgongano wa mawazo au ujinga [kutokujua] wetu....
Kimsingi ukisema Ukimwi unasababisha vifo vingi nitakuelewa lakini siyo wote watakuelewa kama ninavyokuelewa mimi.Mimi nitaelewa Ukimwi ni upungufu wa kinga mwilini unaosababishwa na life style tu na unatibika lakini wengine wataelewa Ukimwi ni ugonjwa unaosababishwa na kirusi anayeitwa HIV na huwezi kupona....
Hizo ndizo tofauti kubwa na zina shida kubwa...
Wale wanaodai kwamba kuna kirusi anasababisha Ukimwi hawajawahi kuthibitisha hili zaidi ya kuwa na dhana mbali mbali kuhusu suala hilo na hili ni tatizo kubwa sana.Zaidi sana hakuna binadamu aliyeahi kumuona HIV achilia mbali uwezekano wa yeye kusababisha chochote kwenye mwili wa binadamu....
Sasa basi,ni kwanini watu tena wanasayansi waendelee kuishi kwenye dhana hii?
Hapo ukijiuliza na kufanikiwa kupata jibu utaelewa mambo mengi sana hapa duniani....
NitapitiaNmependa ulivyojenga hoja,unaonekana unaelewa na unafahamu vizuri namna ya kujenga hoja....
Nikirudi kwenye hoja husika ni kwamba ni kweli kabisa mgongano wa mawazo unaleta elimu kwa wasikilizaji au wasomaji,lakini ukweli utaendelea kubaki vile vile tu siku zote na ukweli hauwezi kuathiriwa na mgongano wa mawazo au ujinga [kutokujua] wetu....
Kimsingi ukisema Ukimwi unasababisha vifo vingi nitakuelewa lakini siyo wote watakuelewa kama ninavyokuelewa mimi.Mimi nitaelewa Ukimwi ni upungufu wa kinga mwilini unaosababishwa na life style tu na unatibika lakini wengine wataelewa Ukimwi ni ugonjwa unaosababishwa na kirusi anayeitwa HIV na huwezi kupona....
Hizo ndizo tofauti kubwa na zina shida kubwa...
Wale wanaodai kwamba kuna kirusi anasababisha Ukimwi hawajawahi kuthibitisha hili zaidi ya kuwa na dhana mbali mbali kuhusu suala hilo na hili ni tatizo kubwa sana.Zaidi sana hakuna binadamu aliyeahi kumuona HIV achilia mbali uwezekano wa yeye kusababisha chochote kwenye mwili wa binadamu....
Sasa basi,ni kwanini watu tena wanasayansi waendelee kuishi kwenye dhana hii?
Hapo ukijiuliza na kufanikiwa kupata jibu utaelewa mambo mengi sana hapa duniani....
TumeonanaaaShem nimekuona