Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kabla sijakusalimia kwanza nikuulize swali. Umeamka salama mjomba wangu?

Si unajua njia ya kwenda kazini lazima uchepuke, unachupukia ile njia ya kwa kina Pili halafu ndo najiandaa na michepuko yangu wiki hii yote. Hesabu za michepuo zinahitaji maandalizi. Mimi ni mwalimu wa hesabu, wewe mjomba unajua
 
Leo katika Historia


1993 - Israel inaivamia Lebanon katika kile kilichojulikana " Operation Accountability " Na Lebanon wanatangaza vita ya siku saba dhidi ya Israel.
61dbc5c777143940dbd4d959ec6c72f6.jpg
Yonatan Netanyahu
380e70f124efb6b2389587d348bc58b2.jpg
e71102a7707caf34f52f709d98d82804.jpg

Vita ilianza kwa Israel kushambulia miundombinu ya Lebanon
Mwisho wa siku Israel akashinda vita ila hapo ndo Hezbollah walipotikisa na umaarufu kuongezeka
.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom