Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
DuAu ndo wale wahenga wa huna mbele wala nyuma
Sio sehemu muhimu kila sehemu baba dYaaaaap zile sehemu muhimu
Kwanza binamu umetokea wapiiii
Mm niko poa ila nimeshangaa sana kukuona make mateka wa asubh najua faida zake ...
Najua simu umetumia ya muhudumu wa gest ....yako ninayo na nitakachokifanya kwenye simu yako utanijuaa
Hizo dagaa nnazokula nimerdhika nzoUnampenda wapiii ...mbona mahitaji unaelekeza sana kwa mama ashura
Kazi wanayo ujue sijui inakuwaje na zile pozi zao mwanaume analegeza jicho kalegea halaf mwanamke ndio anaonekana mwanaume ashukuru tu ile rangi

...anko tuliza kwanza, habari nyingine sio za kuziweka fondi fenti, ziweke kwenye habari za international watu hawasomagi sana.
Kama simu unayo wewe basi roho yangu imetulia, pale nilipowaacha na yule nesi nilijua kanichomolea simu yangu. yaani hata maombi nimeyafanya huku roho inadundadunda

Sawa mama ....ukijipigiaa kitop chakoo kile na kiminiii chako unyweleee wa Brazilian ...mbonaa ntaoshaaa kitaaaaSio sehemu muhimu kila sehemu baba d
Kweliiiii
Imana ishimwe chaneMvutse neza chambu wanje..
Baba D naona story huweki tutaonana badae mume nikirudi nahisi nitakutana na story nakupendaSawa mama ....ukijipigiaa kitop chakoo kile na kiminiii chako unyweleee wa Brazilian ...mbonaa ntaoshaaa kitaaaa


Na hapaa nasomaa ulichomwandikiaa judy ....hivi binamu unanitakiaa nn lakin ......anko tuliza kwanza, habari nyingine sio za kuziweka fondi fenti, ziweke kwenye habari za international watu hawasomagi sana.
Kama simu unayo wewe basi roho yangu imetulia, pale nilipowaacha na yule nesi nilijua kanichomolea simu yangu. yaani hata maombi nimeyafanya huku roho inadundadunda
Leo katika Historia
1993 - Saint James Church Massacre
Kunatokea mauaji huko Capetown, South Africa ambapo watu 11 wanafariki na 58 kujeruhiwa.
So it mean's utasema urongo..aunt kwani tulikubaliana vipi, wewe kumbe ndo unaanzisha hizi habari za wahamiaji haramu. Ziache maana anko hata kama anahusika nitasema hahusiki kabisa
Binamu yangu mie shikamoo jaman
Story namaliziaa .....jion inawekwaaaBaba D naona story huweki tutaonana badae mume nikirudi nahisi nitakutana na story nakupenda![]()
Yaani maneno yako yananifanya nikupende zaidi. Hebu niruhusu nikawaambie BoT waweke picha yako kwenye noti ya buku teni kama tangazo
