Makapuku Forum

Makapuku Forum

Leo katika Historia

1996 - Kunatokea Mapinduzi ya Kijeshi nchini Burundi ambapo Pierre Buyoya anaingia madarakani baada ya kufanikiwa kuipindua serikali iliyokuwa madarakani.
58bba2793dff508f08168aa95012e4fe.jpg
b77bab510daa3a1c23eb35618bd88d9f.jpg
681658ff63ad4ff6f97ad3d10a57a580.jpg

Nkurunziza naye hatoki hadi vifaru viende ikulu
.....
 
Hizo dagaa nnazokula nimerdhika nzo

Dagaa zina madini ya chuma, afu ukizitia na nyanyachungu basi joto lile la kupendeza kuingiliana maungoni sio kama wanamieleka. wanaingiliana maungoni wamevaa chupi halafu ukiuliza eti wanagombea mkanda?

wanagombea mkanda huku wamevaa chupi!!

Endelea kula dagaa mpenzi wangu
 
Leo katika Historia

2000 - Ndege ya Ufaransa " Concorde Air france flight 4590 " inapata ajali uwanja wa ndege wa Charles De Gaulle jijini Paris na kuua abiria 113.
97e6ac9c7e349260cb89dde671859f27.jpg
59c58de25db869fc94002160d2f9059b.jpg
cfacdde94aff1dfe1b14631b85fd815c.jpg

Ilikuwa na safari kutoka Paris kwenda New York
Wakati ikiruka kwenye njia ya ndege tairi likapata hitilafu kisha tenki la mafuta kupasuka
....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom