Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Leo katika Historia
1996 - Kunatokea Mapinduzi ya Kijeshi nchini Burundi ambapo Pierre Buyoya anaingia madarakani baada ya kufanikiwa kuipindua serikali iliyokuwa madarakani.
KihaWoiiiiii ni kimakonde hiko binamu![]()

Imana ishimwe chane
Hizo dagaa nnazokula nimerdhika nzo
Leo katika Historia
2000 - Ndege ya Ufaransa " Concorde Air france flight 4590 " inapata ajali uwanja wa ndege wa Charles De Gaulle jijini Paris na kuua abiria 113.
So it mean's utasema urongo
Leo katika Historia
2003 - A.P.J Abdul Kalam anakuwa Rais wa 11 wa India.
Egoooo, Nagutogwile Mwanikee