Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Unakodoa kodoooo
Unakodoa kodoooo
Wacha weeHujala hasara bali umeokota almasi mlangoni
Ni 248 banaaHongera kwa 247k
Inategema ni kinga ya kitu gani unaitumia,kama unatumia kinga ili usimpe ujauzito ambao hujapanga na mpenzi/mkeo/mumeo hii ni sawa.Lakini kuvaa kinga ili ujikinge na kisichokuwepo ni tatizo....Ahsanteee
Bado kuna habari kinga haimalizi hamu, Bado kuna hatari mpenzi ukimwacha na hamu.
Hahaha ahsante lakini umekoti signatureInategema ni kinga ya kitu gani unaitumia,kama unatumia kinga ili usimpe ujauzito ambao hujapanga na mpenzi/mkeo/mumeo hii ni sawa.Lakini kuvaa kinga ili ujikinge na kisichokuwepo ni tatizo....
Ukimuacha "mwenzio" na hamu kuna hatari moja au mbili...
1;Atakupiga chini
2;Atatoa utam kwa wengine
Nje ya hapo hakuna hatari yoyote ile....
NajifunzaNmependa ulivyojenga hoja,unaonekana unaelewa na unafahamu vizuri namna ya kujenga hoja....
Nikirudi kwenye hoja husika ni kwamba ni kweli kabisa mgongano wa mawazo unaleta elimu kwa wasikilizaji au wasomaji,lakini ukweli utaendelea kubaki vile vile tu siku zote na ukweli hauwezi kuathiriwa na mgongano wa mawazo au ujinga [kutokujua] wetu....
Kimsingi ukisema Ukimwi unasababisha vifo vingi nitakuelewa lakini siyo wote watakuelewa kama ninavyokuelewa mimi.Mimi nitaelewa Ukimwi ni upungufu wa kinga mwilini unaosababishwa na life style tu na unatibika lakini wengine wataelewa Ukimwi ni ugonjwa unaosababishwa na kirusi anayeitwa HIV na huwezi kupona....
Hizo ndizo tofauti kubwa na zina shida kubwa...
Wale wanaodai kwamba kuna kirusi anasababisha Ukimwi hawajawahi kuthibitisha hili zaidi ya kuwa na dhana mbali mbali kuhusu suala hilo na hili ni tatizo kubwa sana.Zaidi sana hakuna binadamu aliyeahi kumuona HIV achilia mbali uwezekano wa yeye kusababisha chochote kwenye mwili wa binadamu....
Sasa basi,ni kwanini watu tena wanasayansi waendelee kuishi kwenye dhana hii?
Hapo ukijiuliza na kufanikiwa kupata jibu utaelewa mambo mengi sana hapa duniani....
HakikaTumeonanaaa
Wacha weeeCha kuchanjiwa Jani sio wembe
Bado kuna habari kinga haimalizi hamu, Bado kuna hatari mpenzi ukimwacha na hamu.
Nimejiuliza mengiUnakodoa kodoooo
Nimependa ushungiii huoWacha weee
Niliacha masomo ya uparoko kwa ajili yakeWacha wee
Go ahead mtaasisiNi muda wa michezo sasa karibu
KweliNi 248 banaa
Asante mkuu kwa elimuInategema ni kinga ya kitu gani unaitumia,kama unatumia kinga ili usimpe ujauzito ambao hujapanga na mpenzi/mkeo/mumeo hii ni sawa.Lakini kuvaa kinga ili ujikinge na kisichokuwepo ni tatizo....
Ukimuacha "mwenzio" na hamu kuna hatari moja au mbili...
1;Atakupiga chini
2;Atatoa utam kwa wengine
Nje ya hapo hakuna hatari yoyote ile....