Makapuku Forum

Makapuku Forum

Inategema ni kinga ya kitu gani unaitumia,kama unatumia kinga ili usimpe ujauzito ambao hujapanga na mpenzi/mkeo/mumeo hii ni sawa.Lakini kuvaa kinga ili ujikinge na kisichokuwepo ni tatizo....

Ukimuacha "mwenzio" na hamu kuna hatari moja au mbili...

1;Atakupiga chini
2;Atatoa utam kwa wengine

Nje ya hapo hakuna hatari yoyote ile....
Naona umemaliza
 
b1f510f9ccb3f66fd5d579f6f254bc54.jpg

Kwa udhamini mnono wa Linamo
Tuwe na wakati mwema
Asante
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom