Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,601
Usiwe na wasi laazizi nipo around kuhakikisha uko safeBora uniitie aisee sijui anadhurura wapi huyu mwanaume![]()
Usiwe na wasi laazizi nipo around kuhakikisha uko safeBora uniitie aisee sijui anadhurura wapi huyu mwanaume![]()
Siwezi nini?Nyageiii haweziiii
Shem nimekuonaMpendwaaa nimekuonaaaaa
Mama nimeleta pua yanguItabidi nifanye utaratibu wa kumfungia maana kama sahizi mwanamke niko nyumbani yeye hata haonekani pua![]()
![]()
Wote walimkimbiaWewe wako ni nani
Baadae nitakununulia urojoBro yupo bize na harakati za maisha ila soon anarudii
Nitaongea na Max amfungie hapa asipate ruhusa ya kuzurura
Hujala hasara bali umeokota almasi mlangoniDuh nimekula hasara wallah![]()
Namuona tuBaba D umeanza ujue
Hongera kwa 248kAnakudangaaanyaaaaaaa
Anakudanganya huyooooo![]()
![]()
![]()
Nikajua umeenda kujitupa juu ya milima au majini ...makeeNilikuwa huku duniani
Usimsikilize huyo
Kabisaa maana anazurura kama kuku aliyekosa banda
Chura nawaogopa sanaYaaaan akionaaa tu churaaa sijuii wewe haunaa ??
Nakuaminia shem wane huwezi kuniangushaSi kweli cuzooo nyagei hana hizo mambo
Ndio maana nikakwama kwakoNina mkia wa kondoo shem![]()
![]()