Palac
JF-Expert Member
- Mar 29, 2025
- 537
- 1,311
Unavyojishaua sasa itabidi unidalalie tender mahala maana ule uzi wako wa fursaMi sitaki mikopo!
Unavyojishaua sasa itabidi unidalalie tender mahala maana ule uzi wako wa fursaMi sitaki mikopo!
Sawa karibu tupige kaziUnavyojishaua sasa itabidi unidalalie tender mahala maana ule uzi wako wa fursa
Shangazi atimae nimetimiza mwaka nikiwa jobless mpaka kwenye vijiwe vya kahawa nimepewa suspension hawanitaki wamechoka stori zanguSawa karibu tupige kazi
Pole jifungie ndani tuwe tunashinda humu tu hakuna namna!Shangazi atimae nimetimiza mwaka nikiwa jobless mpaka kwenye vijiwe vya kahawa nimepewa suspension hawanitaki wamechoka stori zangu
Ntaanza kwenda kwa mheshimiwa mbunge pale nachezea WiFi tu uku nikisubiri tenda yako ambayo ntakua na sifa nayoPole jifungie ndani tuwe tunashinda humu tu hakuna namna!
Vizuri sana!Ntaanza kwenda kwa mheshimiwa mbunge pale nachezea WiFi tu uku nikisubiri tenda yako ambayo ntakua na sifa nayo