Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Kwakuwa ye ndio muulizaji maswali humu ndani ama?!hili swali angeuliza lee
Kwakuwa ye ndio muulizaji maswali humu ndani ama?!hili swali angeuliza lee
Kwahiyo ngoma droodogo nae atakuwa ananuka kama beberu
Happy Birthday Jimena !
Anachonifanyia![]()
huyu jamaa sio fair jamani...... Kisa cha kukazania kunipumzisha kwa amani hivyo???? Yani kama vile mi ndio niliekufa
![]()
![]()
![]()

Naona kaburi la jana libafukuliwaKwa hiyo post zote umeonaa hii ndo ya kukuchrkeshaaa
Pole pacha jamani watu bana
YupoooHayupooo
kweli mdau itakuwa alilewa na vitumbua vya bugurooney.. vitumbua vile avimuachi ntu salama!

Karibungoja nione uhondo wa huku
Duu labda bahati mbayaTuwe na huruma ....
Skip tuNimesoma post ya #1 mpaka [HASHTAG]#360[/HASHTAG]
Baadae nitaendelea hadi nimalize,
Goooood Morning wakuu Muwe na siku njema .
Me nipo sasa nishakaribiaOK karibuuuuu
Kwa hiyo ule ukali wako wa kutishiaa kunyongaa wote umeishia kutishia wakina husna

Asiseme wake aseme wao coz wako wawiliOngezeaa wangu
Kila mtu na nafasi yake mie naita wa kwangu peke angu tu sababu akiwepo nakuwa nae mie tu pekeeAsiseme wake aseme wao coz wako wawili