shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Nimesepa leoHuku kwema habar ya Moshi ama ushasepa
Nimesepa leoHuku kwema habar ya Moshi ama ushasepa
DuuuuuuuuKweliii nakwambiaa...Aguero anatua darajan
Lee unakubaliana na Martin kwa utabiri wake wa premier League kuwa msimu ujao arsenal wanachukua UbingwaKweliii nakwambiaa...Aguero anatua darajan
Ubingwa msimu ujao Man united wanabebaLee unakubaliana na Martin kwa utabiri wake wa premier League kuwa msimu ujao arsenal wanachukua Ubingwa
Asante bae kwa nukuuNUKUU YA LEO
If you don't lose, you cannot enjoy the victories. So I have to accept both things.
Kama usipopoteza mchezo, hutoweza kusherekea ushindi,hivyo nimekubali vitu vyote.
Haya maneno yaliwahi kusemwa na Mcheza tenis wa kihispaniola Rafael Rafa Nadal Perera.
Rafael Nadal alizaliwa June 3 1986 katika mji wa manacor, Baleric island nchini Hispania.
Baba yake Rafael Nadal anafanya biashara za Bima na ana kampuni ya kutengezena Madirisha na Vyoo.
Mama mzazi wa Rafael Nadal ni mama wa nyumbani tuu..Rafael Nadal ana mdogo wake wa kike pia.
Rafael anashikilia nafasi ya pili kwa ubora duniani. Rafael aliingizwa kwenye mchezo wa tenis akiwa na miaka 3 na aliyekuwa mchezaji mstaafu Toni Nadal ambae ni mjomba wake na ndio kocha wake hadi sasa.
Rafael Nadal anashikilia recordi mbali mbali ikiwemo za michezo ya olympic, wimbledon, us opens, French open na australia open.
Rafael ni shabiki mkubwa wa Real madrid na Rc mallorca.
![]()
![]()
Sina la ziada katika Nukuu..
Imeletwa kwa udhamini wa
Cc mahondaw na @smart11
NifeeeeeLee unakubaliana na Martin kwa utabiri wake wa premier League kuwa msimu ujao arsenal wanachukua Ubingwa
Newcastle wanabebaUbingwa msimu ujao Man united wanabeba
Asante ankali kwa tetesi za usajili wa soka huko majuuKwa udhamini mnono wa kapuku wote tuwe na mchana mwema
Subiri tubebe ufe ssNifeeeee
SahauuSubiri tubebe ufe ss
Ww tulia uoneSahauu
Wewe jamaan au umeacha ukivurugeeHiiii jamaaan ....mm au huyuu
Si unanionaaa jhamaniiiiWewe jamaan au umeacha ukivurugee
Arsenal pia wanafikiria kumsajili mshambuliaji wa Real Madrid Alvaro Morata, kuziba nafasi ya Alexis Sanchez ikiwa ataondoka. (Don Balon)



Sitaki kuamini Baba DSi unanionaaa jhamaniiii
T wa dada angu mie jana ulinipa kazi sana ujue dada alikuws analia tu usiku kucha
Pamoja mdauAsante T kwa nukuu
Akiii ya fakeee nakwambiaaaa ....Sitaki kuamini Baba D
Asante mkuuAsante bae kwa nukuu