Makapuku Forum

Makapuku Forum

Leo katika Historia

1955 - Disney land yafunguliwa rasmi na Walt Disney huko California, Marekani.
8f71aea21505576124dd4e0920f3d280.jpg
03ff4502e35a5f181caf041c1166b178.jpg
0c3e695bb05626641e1a33385b28b3d4.jpg

Disney alifariki dunia 1966 akiwa na miaka 65
......
 
Leo katika Historia

Ni siku ya katiba huko Korea Kusini.
8778b69157e3b530f455f1d184844580.jpg
a44bfd41057daba30a615c433e59694f.jpg
1543fb30f9725a529359cea526bc2380.jpg

Katiba yao ilipatikana Julai 17 1948
Katiba yao ilianyiwa maryjebisha mwaka 1987 tuseme tu wanatumia katiba ya mwaka 1987
Nchi zilizoendelea katiba zinaheshimiwa na kila mtu na kuilinda na katiba ni ya wananchi wakati nchi za kiswahili imekuwa kama urembo na pambo la Taifa. marais ni km miungu watu
.....
 
NUKUU YA LEO


If you don't lose, you cannot enjoy the victories. So I have to accept both things.

Kama usipopoteza mchezo, hutoweza kusherekea ushindi,hivyo nimekubali vitu vyote.


Haya maneno yaliwahi kusemwa na Mcheza tenis wa kihispaniola Rafael Rafa Nadal Perera.

Rafael Nadal alizaliwa June 3 1986 katika mji wa manacor, Baleric island nchini Hispania.

Baba yake Rafael Nadal anafanya biashara za Bima na ana kampuni ya kutengezena Madirisha na Vyoo.

Mama mzazi wa Rafael Nadal ni mama wa nyumbani tuu..Rafael Nadal ana mdogo wake wa kike pia.

Rafael anashikilia nafasi ya pili kwa ubora duniani. Rafael aliingizwa kwenye mchezo wa tenis akiwa na miaka 3 na aliyekuwa mchezaji mstaafu Toni Nadal ambae ni mjomba wake na ndio kocha wake hadi sasa.

Rafael Nadal anashikilia recordi mbali mbali ikiwemo za michezo ya olympic, wimbledon, us opens, French open na australia open.

Rafael ni shabiki mkubwa wa Real madrid na Rc mallorca.
5de591070c3ab7577df2ab72eb6e7149.jpg

210476ec3a3ababf9a33436d0781c7dd.jpg

Sina la ziada katika Nukuu..

Imeletwa kwa udhamini wa

Cc mahondaw na @smart11
 
NUKUU YA LEO


If you don't lose, you cannot enjoy the victories. So I have to accept both things.

Kama usipopoteza mchezo, hutoweza kusherekea ushindi,hivyo nimekubali vitu vyote.


Haya maneno yaliwahi kusemwa na Mcheza tenis wa kihispaniola Rafael Rafa Nadal Perera.

Rafael Nadal alizaliwa June 3 1986 katika mji wa manacor, Baleric island nchini Hispania.

Baba yake Rafael Nadal anafanya biashara za Bima na ana kampuni ya kutengezena Madirisha na Vyoo.

Mama mzazi wa Rafael Nadal ni mama wa nyumbani tuu..Rafael Nadal ana mdogo wake wa kike pia.

Rafael anashikilia nafasi ya pili kwa ubora duniani. Rafael aliingizwa kwenye mchezo wa tenis akiwa na miaka 3 na aliyekuwa mchezaji mstaafu Toni Nadal ambae ni mjomba wake na ndio kocha wake hadi sasa.

Rafael Nadal anashikilia recordi mbali mbali ikiwemo za michezo ya olympic, wimbledon, us opens, French open na australia open.

Rafael ni shabiki mkubwa wa Real madrid na Rc mallorca.
5de591070c3ab7577df2ab72eb6e7149.jpg

210476ec3a3ababf9a33436d0781c7dd.jpg

Sina la ziada katika Nukuu..

Imeletwa kwa udhamini wa

Cc mahondaw na @smart11
Asante kwa Nukuu ya leo
 
NUKUU YA LEO


If you don't lose, you cannot enjoy the victories. So I have to accept both things.

Kama usipopoteza mchezo, hutoweza kusherekea ushindi,hivyo nimekubali vitu vyote.


Haya maneno yaliwahi kusemwa na Mcheza tenis wa kihispaniola Rafael Rafa Nadal Perera.

Rafael Nadal alizaliwa June 3 1986 katika mji wa manacor, Baleric island nchini Hispania.

Baba yake Rafael Nadal anafanya biashara za Bima na ana kampuni ya kutengezena Madirisha na Vyoo.

Mama mzazi wa Rafael Nadal ni mama wa nyumbani tuu..Rafael Nadal ana mdogo wake wa kike pia.

Rafael anashikilia nafasi ya pili kwa ubora duniani. Rafael aliingizwa kwenye mchezo wa tenis akiwa na miaka 3 na aliyekuwa mchezaji mstaafu Toni Nadal ambae ni mjomba wake na ndio kocha wake hadi sasa.

Rafael Nadal anashikilia recordi mbali mbali ikiwemo za michezo ya olympic, wimbledon, us opens, French open na australia open.

Rafael ni shabiki mkubwa wa Real madrid na Rc mallorca.
5de591070c3ab7577df2ab72eb6e7149.jpg

210476ec3a3ababf9a33436d0781c7dd.jpg

Sina la ziada katika Nukuu..

Imeletwa kwa udhamini wa

Cc mahondaw na @smart11
Asante mike
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom