Obe
Platinum Member
- Dec 31, 2007
- 10,278
- 35,639
![]()
![]()
![]()
na binamu yangu kweli Mungu kamuumbaa ....
Ila pole yake mama mchuchu
Nakuona tu anko kwenye mipango yako kharamu.
husna muba usiwasikilize, wana wivu hawa (kwa sauti ya jumanecha)
![]()
![]()
![]()
na binamu yangu kweli Mungu kamuumbaa ....
Ila pole yake mama mchuchu
KaribuTOP TEN
UPI ni mto mkubwa kati ya Amazon na Nile?
Hilo swali limezua malumbano makubwa wapi wanaoamini ni a amazon sababu tu ya upana na kina chake cha maji ....hawa wapo shihi
Wengine wanaoamini ni Nile sababu ni mrefu kwa umbali....hawa pia wapo sahihi
Wengine wameegemea kusema tu ukubwa wa mto unatofautiana kulingana na chanzo cha mto,mwinuko n.k....watajijua wenyewe
Basi tuangalie mito kumi mikubwa/mirefu zaidi dunia ni
Urefu ninaouzungumzia ni ule ambao unapimwa kwa kulaza rula kuanzia mto unapoanzia hadi kuishia
Karibuni
.......
MkafanyajeeeAhahhaha hamna tulikuwa tunapiga story tu kwenye huo uzi tulikuwa wengi
Hivi kumbe sakayo anakuwaga mpolee hivi
Ata mm naweza kumshauriii na akaufanyia kazi ushauri wangu ....![]()
![]()
![]()
Ziko kama vile mtu amekufaEmojiii hizo jamanii
Bhinamu natambua uwepo wako...ongera kwa phd na hiyo master phd tuombe iishe salama ....Mpe pole kwa kuumwa miguu, kiuno (nyonga) vipi hakimuumi?
Nawaangalia tu, msilolijua ni usiku wa giza, PhD nimegraduate, nafanya masterPhd.
Usisahau kumpa pole BH, hospital wakishindwa aende kwa waganga
lee empire nakuona tu anko na mipango yako kharamu, kwanza usharudi tukae kimkakati kama timu
Kufanyaje sasa... Mie toka jana naomba msamaha na kasema yameisha sa leo ndo kaanza upyaa
Bora umezionaaZiko kama vile mtu amekufa
Hiiiii huyu nae kisa umeona nawezaa kula poshooUshauri wako wowote ni sawa na nguvu za giza, bora aje nimshauri Mimi. Malipo yanatangulia kwanza
Nilikuwa nawaza tuuNakuona tu anko kwenye mipango yako kharamu.
husna muba usiwasikilize, wana wivu hawa (kwa sauti ya jumanecha)
Waganga hawana nafasi binamu na pole yako simwambiiMpe pole kwa kuumwa miguu, kiuno (nyonga) vipi hakimuumi?
Nawaangalia tu, msilolijua ni usiku wa giza, PhD nimegraduate, nafanya masterPhd.
Usisahau kumpa pole BH, hospital wakishindwa aende kwa waganga
lee empire nakuona tu anko na mipango yako kharamu, kwanza usharudi tukae kimkakati kama timu
....labda alikula makande !? Maana mtu akila makande wikend huwa anapenda kuanzisha mambo yaliyoisha.

Basi tumuache hasira zipungue yataisha niamini mimi
Nakuona tu anko kwenye mipango yako kharamu.
husna muba usiwasikilize, wana wivu hawa (kwa sauti ya jumanecha)




Waganga wapiiiiWaganga hawana nafasi binamu na pole yako simwambii
Hatujafanya kitu baba d ni kuongea tuMkafanyajeee
Leo naona mapema....yaani wewe uaminiwe , hata mimi nakuamini nikiwa nimelewa