Makapuku Forum

Makapuku Forum

TOP TEN
UPI ni mto mkubwa kati ya Amazon na Nile?
Hilo swali limezua malumbano makubwa wapi wanaoamini ni a amazon sababu tu ya upana na kina chake cha maji ....hawa wapo shihi
Wengine wanaoamini ni Nile sababu ni mrefu kwa umbali....hawa pia wapo sahihi
Wengine wameegemea kusema tu ukubwa wa mto unatofautiana kulingana na chanzo cha mto,mwinuko n.k....watajijua wenyewe

Basi tuangalie mito kumi mikubwa/mirefu zaidi dunia ni
Urefu ninaouzungumzia ni ule ambao unapimwa kwa kulaza rula kuanzia mto unapoanzia hadi kuishia
Karibuni
.......
Karibu
 
10/Amur River
85271b6ffa3851a95bc8857a59462364.jpg
dab7c4896010c33113c4c7ba454a0d81.jpg
2ad70391de3b5cbab7663c52ceedf578.jpg

Linajulikana pia kama Heilong Jiang
Ni mto unaotengeneza mpaka kati ya Urusi Mashariki na China Kaskazini Mashariki
Lina urefu wa Km 2824
........
 
Mpe pole kwa kuumwa miguu, kiuno (nyonga) vipi hakimuumi?

Nawaangalia tu, msilolijua ni usiku wa giza, PhD nimegraduate, nafanya masterPhd.

Usisahau kumpa pole BH, hospital wakishindwa aende kwa waganga

lee empire nakuona tu anko na mipango yako kharamu, kwanza usharudi tukae kimkakati kama timu
Bhinamu natambua uwepo wako...ongera kwa phd na hiyo master phd tuombe iishe salama ....


Kesho tutakuwa wote tuyajengee
 
Mpe pole kwa kuumwa miguu, kiuno (nyonga) vipi hakimuumi?

Nawaangalia tu, msilolijua ni usiku wa giza, PhD nimegraduate, nafanya masterPhd.

Usisahau kumpa pole BH, hospital wakishindwa aende kwa waganga

lee empire nakuona tu anko na mipango yako kharamu, kwanza usharudi tukae kimkakati kama timu
Waganga hawana nafasi binamu na pole yako simwambii
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom