Makapuku Forum

Makapuku Forum

Shukrani mdau
Nikutakie siku njema
....
Na wewe pia mdau ...sema na mm nimeanza kufuga kuku
e775d38e2385343980e18097f87111a5.jpg
 
ead40f69ff93acd54bbd2cb09c164562.jpg
a261e9371154865965a917000cf5fb26.jpg
b7f69c7aa48545de7899555716f97186.jpg

Ana elimu ya Doctorate in Physical Chemistry yaani ni msomi kweli kweli siyo wale wakupewa km fulani
Ni kiongozi wa Christian Democratic Union(CDU)

Hana mtoto yoyote ....sijajua kama ni mgumba,lifestyle au kawahi kuzaa mtoto akafa
Kwa Wajerumani huyu ni kama Margaret Thatcher a.k.a Iron Lady
.......
Labda hakuwa na muda, busy kwenye harakati
 
Leo katika Historia

1972 - Jaap Stam anazaliwa.
Ni mchezaji wa zamani wa Man utd, Ac Milan na Uholanzi.
5fc97486d016e0d16e3ed2d75a143fbf.jpg
0c5787d082bceb70ae9a16e6fff91c19.jpg
b86fdb6fb9a43ccfcb7bbd7deaca8797.jpg

Ni beki kipande cha mtu ....kwa umbo na sura kafanana na Jan Kohler wa Jamhuri ya Czech
Alishinda mataji matatu mwaka 1999 na kuwa kwenye kikosi cha kihistoria
Kosa pekee alilofanya likamgaharimu ni kutaka kushindana na babu SAF matokeo yake akauzwa kama mbwa !!
Sikio halizidi kichwa
.......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom