Makapuku Forum

Makapuku Forum

Don't mess with kansiime....


kati ya comedian wanaojua wanachokifanya kwa East Africa huwezi kumuacha huyu dada kutoka kwa m7 ....yaaaa Uganda ..

Sio kwamba wa kwetu hawajui ila utofauti upo mkubwa sana kati yao na sisi ata Kenya wako vizuri....sijajua ni Lugha ndo inawasaidia au laaah....


Kiukweli kazi za huyu dada nazipenda kinomaaaa....sio mbaya na wew ukapoteza mawazo kidogo kwa huyu cheusi wangu ....eti wangu namaanisha kansiime.......

 
Wahenga walisema hakuna lennye mwanzo lisilo na mwisho. Tukutane tena kesho, shukrani kwa udhamini mnono kabisa wa WAHENGA niite Jimena Jimenes


HASTA LA VISTA!!
Asante kwa leo katika historia ankali JJ
 
ead40f69ff93acd54bbd2cb09c164562.jpg
a261e9371154865965a917000cf5fb26.jpg
b7f69c7aa48545de7899555716f97186.jpg

Ana elimu ya Doctorate in Physical Chemistry yaani ni msomi kweli kweli siyo wale wakupewa km fulani
Ni kiongozi wa Christian Democratic Union(CDU)

Hana mtoto yoyote ....sijajua kama ni mgumba,lifestyle au kawahi kuzaa mtoto akafa
Kwa Wajerumani huyu ni kama Margaret Thatcher a.k.a Iron Lady
.......
Aisee, sikujua kama hana mtoto
 
Beki wa Southampton Virgil van Dijk, 26, huenda bado akahamia Liverpool kwa pauni milioni 60 msimu huu. Mchezaji huyo amesisitiza anataka tu kwenda Liverpool. (Sun)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom