Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mkuu..

Huku kuna:

1.Magazeti
2. Nukuu ya leo
3. Story
4.Top Ten
5. Did you know
6. Unbelievable Facts
7. Today in History/ Historia
8. Sports Headlines
9. Tz headlines
10. Live score-ila hii kwa sasa iko likizo..itanza week hii baada ya preseason match kuanza.

11. Kuna Generalised story! Watu wanapiga story na kujuliana hali..

This is Kapuku Forum..
Yaani leo ndo nimejibiwa hilo swali, nimeuliza mara kadhaa huwa sijibiwi zaidi ya kuulizwa maswali zaidi.
Nashukuru, kumbe nami hili jukwaa ni langu maana topic kadhaa hapo juu zinanihusu! Kwa lugha nyingine hili jukwaa ni summery ya jf!
Okei, nimekupata mkuu!
 
Kuna mmoja kashatekwa humu aisee ila umenichekesha sana.."Ngoma ya watoto haikeshi maana hawajui walifanyalo" Wait and see
Mpotezee

Na tumtakie kila la kheri na aishi maisha alivojichagulia kwa utashi wake mwenyewe

Sisi tulikuwepo,tupo na tutaendelea kuwepo hadi pale Mwenyezi Mungu atakapoamua kutupumzisha mmoja mmoja
God bless Makapuku !!!
.......
 
4362cd37a0f0567bb6443d9d2a302b9d.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom