Makapuku Forum

Makapuku Forum

3839559a3706e607611bcf0a0f7ac570.jpg
TEAM DECEMBER
 
NUKUU YA LEO

A friend is someone who gives you total freedom to be yourself

Rafiki ni mtu ambaye anakupa uhuru kamili wa kuishi kama wewe


Haya maneno yaliwakusemwa na mwanamshairi wa kimarekani James Douglas ama jim morrison .

Jim morrison alizaliwa Dec. 8 1943 na kufariki July 3 1943.

Jim morrison alifariki nchini ufaransa kwa kile kinachosemekana kuwa ni Shambulio la Moyo.

Jim alikutwa akiwa amefariki bafuni kwake.

Be a friend! Live your life! Enjoy the short moment you have..

Life is too short..!

ef6f959eb0ab646f0fed1797a68b7aa7.jpg

9bc1d169e29b9441fa340bbacbfbc142.jpg
Asante kwa nukuu Transcend
 
😎 Rais wa Nigeria, Muhammadu Buhari ambae yuko London kwa ajili ya matibabu, amefanya mkutano wake wa kwanza na anaekaimu nafasi hiyo kwa miezi miwili sasa.

😎 Mashindano ya riadha ya dunia ya IAAF kwa vijana wasiozidi umri wa miaka 18 yanaanza hii leo jiji Nairobi Kenya

😎 Nchini Rwanda kuna mradi wa kutengeneza sodo zinazopatikana kwa bei chee ambazo hutengenezwa kwa nyuzi zitokanazo na mabaki ya migomba.

😎 Malaria bado ni changamoto katika nchi nyingi barani Afrika, huko nchini Tanzania kwa mujibu wa wizara ya Afya takribani watu milioni 18 huugua ugonjwa wa malaria kila mwaka. Katika kupambana na ugonjwa huo shirika la Afya la ifakara wamebuni mbinu mpya ikiwemo utengenezaji wa viatu vyenye kinga ya mbu hususani wakati wa mchana.

😎 kuna taarifa ya uwepo wa kampuni moja inayotengeneza viatu vya kwanza vya riadha kubuniwa nchini Kenya..
Asante sana kwa dondoo ankali
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom