Makapuku Forum

Makapuku Forum

NUKUU YA LEO

A friend is someone who gives you total freedom to be yourself

Rafiki ni mtu ambaye anakupa uhuru kamili wa kuishi kama wewe


Haya maneno yaliwakusemwa na mwanamshairi wa kimarekani James Douglas ama jim morrison .

Jim morrison alizaliwa Dec. 8 1943 na kufariki July 3 1943.

Jim morrison alifariki nchini ufaransa kwa kile kinachosemekana kuwa ni Shambulio la Moyo.

Jim alikutwa akiwa amefariki bafuni kwake.

Be a friend! Live your life! Enjoy the short moment you have..

Life is too short..!

ef6f959eb0ab646f0fed1797a68b7aa7.jpg

9bc1d169e29b9441fa340bbacbfbc142.jpg
R.I.p jimy
 
Kuna mmoja kashatekwa humu aisee ila umenichekesha sana.."Ngoma ya watoto haikeshi maana hawajui walifanyalo" Wait and see
Cha ajabu wanakuja kuja huku kujambisha ni dalili kwamba hawana malengo wala kujua wafanyalo
Ni aibu mwanaume anaacha nyumba yake anaingia kwa jirani kujishebedua km demu akikaushiwa anajipitisha na khanga za vijembe akijibiwa kustaarabu pia haridhiki

......
 
Mkuu..

Huku kuna:

1.Magazeti
2. Nukuu ya leo
3. Story
4.Top Ten
5. Did you know
6. Unbelievable Facts
7. Today in History/ Historia
8. Sports Headlines
9. Tz headlines
10. Live score-ila hii kwa sasa iko likizo..itanza week hii baada ya preseason match kuanza.

11. Kuna Generalised story! Watu wanapiga story na kujuliana hali..

This is Kapuku Forum..
Nahisi wanapoteana huko
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom