Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,601
Salama tu shem waneShem wange za wewe
Salama tu shem waneShem wange za wewe
Hivyo hivyo hujakoseaHapa kama nimeelewa vile!!
.
.
Yule mwenye jina linaloishia na e....sijui nini sijui nini... Ntapata ugonjwa wa mapenzi...sijui nini sijui nini
poa poa Mkuu, ndiyo najiandaa leo kurudisha KaESCROw kangu kwa mzee Magu.Niajeee mzeeyaaa
Leo hope wapo airport JkEverton wanakuja lini huku?
Ebu nipitishie mimi kwanza kidogo halaf ndio urudishepoa poa Mkuu, ndiyo najiandaa leo kurudisha KaESCROw kangu kwa mzee Magu.
Sawa mdauDarasa huru la kapuku .... (DHK)
Mambo mazuri yanapatikana kwetu kuanzia utani , elimu na kila kitu kinachohusu maisha kinapatikana ....wengi wanaingia kupata mambo adimu ili kuwasaidia na sisi kutusaidia ...
Kwa nini tusiwe na kakipengele kama haka ....Darasa huru la kapuku kila mtu kuweza kutushirikisha alichonacho najua wapo wataalam wa sheria , uchumi ,mapenzi, maisha , n.k...mfano mda mzuri wa jioni baada ya kumaliza zile ratiba zetu tunakuwa na kitu kama hiki ....na kuruhusu kuuliza maswali mbalimbali na kusaidiana kujibu ....ila yasiwe maneno make humu na wanasiasa wapo wengi tunahaidiana na kuishia hewani...
Ni wazo wala sio upuuzi wa lee ...
Naweka mfano wa mistar michache soon
We rudisha kama mmeona ndo kiki ya sasa ....ila keko hiyoooopoa poa Mkuu, ndiyo najiandaa leo kurudisha KaESCROw kangu kwa mzee Magu.

True mdau ...Sawa mdau
Labda kila mtu akiwa free kwa siku yake aseme tumpige interview kulingana na maujuziyake
Itakuwa poa iwe Ijumaa,Jumamosi au Jumapili
........
Utashangaa mbwai.... Ambu nzakughambia ukweiKhaaaa![]()
![]()
![]()
Lugha yenu rahisi. Huyo mwenye herufi e aache kukutesaHivyo hivyo hujakosea
Sikunda kuamini imi haya ni mapya kwanguUtashangaa mbwai.... Ambu nzakughambia ukwei
sikunda mghoshi wa aina yeyoshe humu jf
Sanaaa ila kidogo umekosea sio mimi ninaeteseka soma vizuri herufi e kaitamka naniLugha yenu rahisi. Huyo mwenye herufi e aache kukutesa
Mwenzangu nilibanwa na Mr T...Mie nimeipenda bana halaf ikawaje jana umenikimbia na nataka zawadi yangu uliyoniahaidi
Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
Aunt emyta anamtesa ....mwambie sio vzurSanaaa ila kidogo umekosea sio mimi ninaeteseka soma vizuri herufi e kaitamka nani
Jaman kubanwa huko veepMwenzangu nilibanwa na Mr T...
Zawadi yako njoo uchukue
MbayaIna nini jamani