Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
Na hata waige hawataweza kuhamisha ubunifu/ujuzi/akili /maarifa za vichwani mwetu .Mkuu..
Huku kuna:
1.Magazeti
2. Nukuu ya leo
3. Story
4.Top Ten
5. Did you know
6. Unbelievable Facts
7. Today in History/ Historia
8. Sports Headlines
9. Tz headlines
10. Live score-ila hii kwa sasa iko likizo..itanza week hii baada ya preseason match kuanza.
11. Kuna Generalised story! Watu wanapiga story na kujuliana hali..
This is Kapuku Forum..
Humu kuna wasomi wa kueleweka ila watu hawapendi kujionyesha
........


