Makapuku Forum

Makapuku Forum

IMG_20170712_094812_248.JPG
 
NUKUU YA LEO

A friend is someone who gives you total freedom to be yourself

Rafiki ni mtu ambaye anakupa uhuru kamili wa kuishi kama wewe


Haya maneno yaliwakusemwa na mwanamshairi wa kimarekani James Douglas ama jim morrison .

Jim morrison alizaliwa Dec. 8 1943 na kufariki July 3 1943.

Jim morrison alifariki nchini ufaransa kwa kile kinachosemekana kuwa ni Shambulio la Moyo.

Jim alikutwa akiwa amefariki bafuni kwake.

Be a friend! Live your life! Enjoy the short moment you have..

Life is too short..!

ef6f959eb0ab646f0fed1797a68b7aa7.jpg

9bc1d169e29b9441fa340bbacbfbc142.jpg
Asante mkuu kwa nukuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom