Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mfano ...DARASA HURU LA KAPUKU

JE WAJUA UBONGO WA BINADAMU UNAKUWA ACTIVE KIPINDI UMELALA /KUSINZIA KULIKO UKIWA MACHO ??

Ni ukweli husiopingika kuwa ubongo wa binadamu unakuwa active sana mda wa usiku au umelala kulinganisha na kipindi hujaupunyuaa ....ndiioo hujalala

Wewe ukiwa unajua umelala kumbe ndo ubongo uko bize kuliko unavyozania hii ni kutokana na ukweli kwamba neuronal system ambazo ndo zinahusika sana na hii hali zinakuwa active kuliko ....isodentritic core ambazo zinastretch kuanzia kwenye medulla kwenda mpaka kwenye hypothalamus hadi kufikia ubongo wa mbele zinasaidia sana .....


Ni mfano tu wa DHK
Naunga mkono hili wazo
Ni zuri sana
 
Mengine ndio nayajua leo kuhusu yeye bro..Tuko pamoja daima sidhan kama nitatoka humu, hata nikitoka labda nibadili lazm nirudi humu.
Humu ndio nimekulia toka bado mgeni hata mwez sijatimiza na pamenikutanusha na watu wengi ambao nawachukulia kama ndugu zangu na ninaweza shea nao kitu chochote bila kuogopa..

Long live Kf
Mwenzetu yule achana nae kwanza ni mtata na mgomvi & much know
Mpotezee
Na tumtakie kila la kheri na aishi yalivyo mi chafu mia
Sisi tulikuwepo,tupo na tutaendelea kuwepo hadi pale Mwenyezi Mungu atakapoamua kutupumzisha mmoja mmoja
God bless Makapuku !!!
.......
 
Mengine ndio nayajua leo kuhusu yeye bro..Tuko pamoja daima sidhan kama nitatoka humu, hata nikitoka labda nibadili lazm nirudi humu.
Humu ndio nimekulia toka bado mgeni hata mwez sijatimiza na pamenikutanusha na watu wengi ambao nawachukulia kama ndugu zangu na ninaweza shea nao kitu chochote bila kuogopa..

Long live Kf
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom