mzeewakungoa
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 4,969
- 13,920
Ewaaa.... Ukinghoshoia tabu... Nge niite kwa mazumbe wa kuja mbaramo wanghoshoie mambo nkughuwe mazima.Kabla hauzabua mnazi
Ewaaa.... Ukinghoshoia tabu... Nge niite kwa mazumbe wa kuja mbaramo wanghoshoie mambo nkughuwe mazima.Kabla hauzabua mnazi
Naunga mkono hili wazoMfano ...DARASA HURU LA KAPUKU
JE WAJUA UBONGO WA BINADAMU UNAKUWA ACTIVE KIPINDI UMELALA /KUSINZIA KULIKO UKIWA MACHO ??
Ni ukweli husiopingika kuwa ubongo wa binadamu unakuwa active sana mda wa usiku au umelala kulinganisha na kipindi hujaupunyuaa ....ndiioo hujalala
Wewe ukiwa unajua umelala kumbe ndo ubongo uko bize kuliko unavyozania hii ni kutokana na ukweli kwamba neuronal system ambazo ndo zinahusika sana na hii hali zinakuwa active kuliko ....isodentritic core ambazo zinastretch kuanzia kwenye medulla kwenda mpaka kwenye hypothalamus hadi kufikia ubongo wa mbele zinasaidia sana .....
Ni mfano tu wa DHK
Umetisha shemelaSikunda kuamini imi haya ni mapya kwangu![]()
sikunda mghoshi wa aina yeyoshe humu jf
Nzajifunza kumwamini mtu sikunda imi yaan sikunda
Mwenzetu yule achana nae kwanza ni mtata na mgomvi & much know
Mpotezee
Na tumtakie kila la kheri na aishi yalivyo mi chafu mia
Sisi tulikuwepo,tupo na tutaendelea kuwepo hadi pale Mwenyezi Mungu atakapoamua kutupumzisha mmoja mmoja
God bless Makapuku !!!
.......
Mwenzetu yule achana nae kwanza ni mtata na mgomvi & much know
Mpotezee
Na tumtakie kila la kheri na aishi yalivyo mi chafu mia
Sisi tulikuwepo,tupo na tutaendelea kuwepo hadi pale Mwenyezi Mungu atakapoamua kutupumzisha mmoja mmoja
God bless Makapuku !!!
.......

Pamoja sana shemeji sakayoAsante Shululu
Dah haya bwana. Mi napenda utani kama nimekukwaza am sorry.Sijachukia mm be free dear Nimejifunza kitu hapo aisee
AsanteeNi matumaini yangu kuwa wote hamjambo na mnaendelea vyema na shughuli zenu za kila siku.
Asanteni sana kwa kuwa pamoja nami katika historia,
Tukutane tena kesho kwa udhamini mnono kabisa wa Gwajima. Niite Jimena Jimenes![]()
![]()
Bye...
Asante sana kwa magazeti ankaliView attachment 540061Sina la ziada tukutane tena kesho, kwa udhamini mnono wa shemela shunie
Asubuhi njema
Mkuu habr ya weweHahaha
Nzuri mpendwa, za familiaZa asubuhi wapendwa wangu
Umefuata likes?Huu uzi watu wanabana sana LIKES.
Kumbe na wewe wa kwetuDah hii home kabisa
Habari yako mkuu shululu wa TumosaHi Nyagei
Nipo namuona tu ....sina wasiwasiNaona umeamua kujilipua. My @leeempire where are you?
Ukionyesha utayari ntamalizia pmMbona namba hazijaenea kamanda malizia bwana..
Mengine ndio nayajua leo kuhusu yeye bro..Tuko pamoja daima sidhan kama nitatoka humu, hata nikitoka labda nibadili lazm nirudi humu.
Humu ndio nimekulia toka bado mgeni hata mwez sijatimiza na pamenikutanusha na watu wengi ambao nawachukulia kama ndugu zangu na ninaweza shea nao kitu chochote bila kuogopa..
Long live Kf

Shemeji mzimaPamoja sana shemeji sakayo