Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,100
Asante na kwako piaNawatakieni siku njema
Asante na kwako piaNawatakieni siku njema
Mmmmm ata mm hayo siyajuiii ...uzuri tulifanya hivo kuwapisha binamu na mama ashura waongee kwa faragha

Walee watoto tu maaana mkulu hataki wazazi shuleKirat
![]()
Si mm aliniomba nimpishe amalizane na mama Ashura make alitaka awahi kwenda kwa subira muhudumu mpya
hatari lakini salamaKwa mtaji huu kumpata BH usahau kabisaaNajua sana kuhusu mdogo wake, madada wa Mtwara hawafichani. Nilimuulizaga hivi;
Mimi: mbona unavaa nyingi sana?
Yeye: kwani hizi ni nyingi! Hujaziona za mdogo wangu.
Sasa hapo anko unadhani sijui nini?
Milele aminaaa mama mchungajiEBENEZA YUPO ANATUSAIDIA
1 SAMWEL 7
11.Nao watu wa Israel wakatoka Mispa ,wakawafuatia Wafilisti,wakawapiga hata walipofika chini ya Beth-kari.
12.Ndipo Samweli akatwaa jiwe ,na kulisimisha kati ya Mispa na Sheni,akaliita jina lake Eben-ezeri ,akasema ,Hata sasa BWANA ametusaidia.
TUOMBE
MUNGU BABA wa mbinguni tunakushukuru kutuamsha salama ,asante tumekuona unatuponya,unatubariki,unatulinda,unatukinga na unatupa furaha BABA tunakuona unatupa Amani Asante kwa kuwa upo nasi kila siku unatusaidia wewe ni EBENEZA.
Tunaomba tutakase,wasaidie vijana wote wakujue,wasaidie wanaotafuta ada,kodi,nyumba na maendeleo mbalimbali.
Ponya wagonjwa, wape tumaini wafiwa,wajane yatima,na wasio na makazi.
Tutakase BABA ILI TUPITE KWENYE CHANGAMOTO MBALIMBALI SALAMA.
Saidia nchi yetu Tanzania sawasawa na mapenzi yako,wafanye viongozi wetu wawe na hofu yako na watende haki siku zote,iponye nchi yetu Tanzania BABA na maafa mbalimbali epusha mauaji yanayoendelea,wewe ndiye unajua siri ya yote na utatoa hukumu ya haki
Baba asante tunashukuru
Katika jina la Yesu Kristo Amen
SIKU NJEMA MBARIKIWE![]()
![]()
MpendwaaMTU na binamu yake
Wazee Wa mambo na vijambo
Walee watoto tu maaana mkulu hataki wazazi shule

Usikonde, nipeleke kwa BH nami nikupeleke kwa mama Ashura, quid pro quo

Amena asante Lee wa Shunie ubarikiwe sanaKumekucha swalamaaaaaa kabisa wanafamilia. ..jambo jema Mwenyezi Mungu ametuwezesha sikukuu zimeisha salama ...
Soon simulizi na UF. ..
Hongera kwa 225kMbuzi hana
Niko poa, sijui weweUko poaa mkuu
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Asante balozi
Ila husna yuko wap![]()
![]()
![]()

Niko poa kabisaNiko poa, sijui wewe
Mtatueleza