Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Asante mkuuView attachment 531821Sina la ziada kwa udhamini mnono wa Clkey
Nawatakieni siku njema
Asante mkuuView attachment 531821Sina la ziada kwa udhamini mnono wa Clkey
Nawatakieni siku njema
KivipiMagazeti yanatuchanganya
Morning ....Morning family
KaribuuuAisee
Asante sana Lee kwa UF
Asante sana ankali kwa dondoo za magazetiView attachment 531821Sina la ziada kwa udhamini mnono wa Clkey
Nawatakieni siku njema
NiyonzimaKivipi
SanaMagazeti yanatuchanganya
Pamoja sana mzeewakungoaAsante Mkuu kwa vichwa vya habari za magazeti ya leo
Pamoja sana mme mweeAsante mkuu
Niaje mkuuMorning
Na wewe piaNawatakieni siku njema
Morning ankaliMorning family
1 SAMWEL 7
TUOMBE

Ili ujue habari za mapanki![]()
![]()
![]()
hili gazetiiii leo nalinunua nionee
MTU na binamu yakeNi kweli safari ya Kigamboni naitamani japo aunt yako ndo simuelewiiii...
Ila unajua kutyme binamu make nilijua ndo huji tena make kuku yuke nilijua namfaidii mwenyewe mara hodiii ukatingaaa...
Mdogo wake ana story nzuriii na ni charming wasemavyo wa China ...tuliongea mengi najua ulitamani uyasikie lakin siri yangu
Amen, Asante mama mchungaji kwa nenoEBENEZA YUPO ANATUSAIDIA
1 SAMWEL 7
11.Nao watu wa Israel wakatoka Mispa ,wakawafuatia Wafilisti,wakawapiga hata walipofika chini ya Beth-kari.
12.Ndipo Samweli akatwaa jiwe ,na kulisimisha kati ya Mispa na Sheni,akaliita jina lake Eben-ezeri ,akasema ,Hata sasa BWANA ametusaidia.
TUOMBE
MUNGU BABA wa mbinguni tunakushukuru kutuamsha salama ,asante tumekuona unatuponya,unatubariki,unatulinda,unatukinga na unatupa furaha BABA tunakuona unatupa Amani Asante kwa kuwa upo nasi kila siku unatusaidia wewe ni EBENEZA.
Tunaomba tutakase,wasaidie vijana wote wakujue,wasaidie wanaotafuta ada,kodi,nyumba na maendeleo mbalimbali.
Ponya wagonjwa, wape tumaini wafiwa,wajane yatima,na wasio na makazi.
Tutakase BABA ILI TUPITE KWENYE CHANGAMOTO MBALIMBALI SALAMA.
Saidia nchi yetu Tanzania sawasawa na mapenzi yako,wafanye viongozi wetu wawe na hofu yako na watende haki siku zote,iponye nchi yetu Tanzania BABA na maafa mbalimbali epusha mauaji yanayoendelea,wewe ndiye unajua siri ya yote na utatoa hukumu ya haki
Baba asante tunashukuru
Katika jina la Yesu Kristo Amen
SIKU NJEMA MBARIKIWE![]()
![]()