Makapuku Forum

Makapuku Forum

1/Indonesia
212abc02f4bd9684382f6eac38f027a7.jpg
eb12b09ab6e4b7cc8e7cc661fe37f0cf.jpg
b9203e263a17d36c96607b5266a51149.jpg
Nani nasema Waafrika pekee ndio wachawi?...tembea ujionea
Huku nako usiku ni mwendo wa kuvua nguo na kuwanga
Rais wao keshasema hadharani kwamba anaamini katika ushirikina na kuwa Rais mchawi pekee duniani ....wewe na mimi kama hatuamini uchawi ni Imani/msimamo wetu
Waindonesia ni noma kiasi kwamba serikali unataka kuifanya practisi ng black magic iwecrimal offence
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane kesho
Mwisho
.........
Asante sana Toz
 
9/Tanzania
52688bacde5cb37154d1061f9a6e5e71.jpg
dfe5006d3462358957b858b3c787c494.jpg
9e2ddd1bc5332d4294844925d40b6de4.jpg
Ukitaka kujua Watanzania wengi wanaamini katika ushirikina kuliko kumwamini Mungu basi fuatilia thread za njemba fulani zinavyoshabikiwa na hadi kuitwa sijui member mwenye busara zaidi JF kisa tu anaandika zaidi ushirikina na Hivyo kawa maarufu na kuwateka watu
Usijiulize kwanini mauaji ya albino hayakomi...sababu tu tumejikita kwenye ushirikina
Fulani watu wanaweka vipande vya mkaa eti kujikinga na chuma ulete...makanisani nako wachungaji feki wana nguvu za giza
Wanasiasa nao washirikina
Watanzania ni washirikina balaa ndiyo maana CCM haitoki madarakani
.......
Dah..... Acha mchawi Jr apate jina kumbe tuko nafasi ya 9
 
1/Indonesia
212abc02f4bd9684382f6eac38f027a7.jpg
eb12b09ab6e4b7cc8e7cc661fe37f0cf.jpg
b9203e263a17d36c96607b5266a51149.jpg
Nani nasema Waafrika pekee ndio wachawi?...tembea ujionea
Huku nako usiku ni mwendo wa kuvua nguo na kuwanga
Rais wao keshasema hadharani kwamba anaamini katika ushirikina na kuwa Rais mchawi pekee duniani ....wewe na mimi kama hatuamini uchawi ni Imani/msimamo wetu
Waindonesia ni noma kiasi kwamba serikali unataka kuifanya practisi ng black magic iwecrimal offence
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane kesho
Mwisho
.........


Asante balozi

Ila husna yuko wap
 
8/Nepal
c56ee88c887516f63e6dd10ebd8d9f55.jpg
875a2d6a6d9b00dff3c7f2e2d073bd79.jpg
]Hii ndo nchi pekee duniani ambayo bendera yake siyo ya mstatili yaani siyo pembe nne labda imewekwa kichawi tu
Waasia hawa nao ni balaa linapokuja suala la ushirikina...
Mfano mwaka 2012 ilivuma habari ya msukule wa kike na kutikisa dunia nzima yaani mwanamke aliyekufa na kuzikwa alipatikana akiwa msukule
Uchawi wao unavuma tangu karne ya 17
......
Hii bendera itakuwa na maana yake sio bure
 
7/India
f445af2d5fb9cd53b52b76631f30e795.jpg
ec1e4d0bd890089ab2fb5cf1696bf775.jpg
5bfac6241c57cb5c5290d5dce587e2a2.jpg

Wahindi wamejaaliwa mvuto wa sura lakini mioyo yao imejaa ushirikina achilia mbali tabia yao ya uchafu uliopitiza
Mfano Oktoba 14 BBC iliripoti habari kuhusi binti mmoja kutoka Bemetara District kwamba alitolewa kafara ya mtoto wa kiume na ndugu zao wakiamini itamsaidia kupata ujauzito .....asiye na mwana abebe jiwe kuliko kwenda kwa sangoma
......
Dah
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom