Obe
Platinum Member
- Dec 31, 2007
- 10,278
- 35,639
Mke mwee nipo upande wa binamu yangu![]()
Ha ahahahaj, kama wewe ni.mchezaji basi umekuja kwa mkopo. Siwezi kukuamini kucheza dakika 90 ⛹️
Mke mwee nipo upande wa binamu yangu![]()
Sawa binamu naomba unipeleke kwa mama ashura basi...tena sio tu ukae kimya, unyamaze kabisa , au sio mjomba
Aisee haaaaahaaaaSasa binamu kwani alikuwa anakuchungulia jamaan
Yelewiiii nina rafiki wa uko yupo tz kufanya research zake mbona waniogopesha3/Ghana![]()
Waigeria ni maarufu kwa filamu zao za kichawi ila Waghana wao ni wachawi kweli![]()
Wengi mnakumbuka Andre Ayew alivyoumbuliwa na kamera kwenye michuano ya AFCON 2017 akinyunyizia juju uwanjani ....Aibu yao !!![]()
Jamaa wanaoaajua kutumia hadi witch fying gas wakati wabongo wa Sumbawanga wanatumia ungo
Kaa mbali na Waghana
........
Labda wanajua me robot shemelaShemela wangu mnamtesa sana, mjue ana moyo
Ndio kabisaaa...tena sio tu ukae kimya, unyamaze kabisa , au sio mjomba
Ha ahahahaj, kama wewe ni.mchezaji basi umekuja kwa mkopo. Siwezi kukuamini kucheza dakika 90 ⛹️
kweli binamu niamini tu jamaanZongo ni nini shemelaKhaaa kwahiyo hatutakiwi kuogopa jamaan nikienda tanga huwa naogopa zongo![]()
Noop, siko Moshono mkuuMkuu wewe si uko moshono..!
Chupa town fasta tuu hapo..
Jamani nakupenda wewe mm namsindikiza binamu make mimba yako inanichukia ata mm tukikaa saa 1 tushavuruganaBaba D sijakuelewa kabisa ujue lakini kikubwa upo mzima basi Mengine acha niendelee kumuomba Mungu akubadilishe
Aisee duhHa ahahahaj, kama wewe ni.mchezaji basi umekuja kwa mkopo. Siwezi kukuamini kucheza dakika 90 ⛹️
Ni kweli safari ya Kigamboni naitamani japo aunt yako ndo simuelewiiii...
Ila unajua kutyme binamu make nilijua ndo huji tena make kuku yuke nilijua namfaidii mwenyewe mara hodiii ukatingaaa...
Mdogo wake ana story nzuriii na ni charming wasemavyo wa China ...tuliongea mengi najua ulitamani uyasikie lakin siri yangu
MuulizeeSasa binamu kwani alikuwa anakuchungulia jamaan
Mimi nilijua mapema kuwa hawakuamini![]()
![]()
kweli binamu niamini tu jamaan
Hiyo inaitwa juu kwa juuNajua sana kuhusu mdogo wake, madada wa Mtwara hawafichani. Nilimuulizaga hivi;
Mimi: mbona unavaa nyingi sana?
Yeye: kwani hizi ni nyingi! Hujaziona za mdogo wangu.
Sasa hapo anko unadhani sijui nini?
Unanichonganishaa wakat pattern mpaka unitolee wwBinamu ukiona vile simu anayo mjomba wako
Huo ni uchawi wa tanga lakini walengwa ni watoto ila me na ukubwa wangu bado nauogopa mpaka leo uchawi wa macho tu huo shemela kuna watu wana macho makali unaweza ukawa na mimba mtu anakuangalia tu badae mimba inatoka acha tu shemelaZongo ni nini shemela
MmmmmhShemela wangu mnamtesa sana, mjue ana moyo
Mtaenda wenyewe kigamboni na mdogo wake mama ashura