Makapuku Forum

Makapuku Forum

3/Ghana
acc0b085ca27d118e511f78a5d05ec8a.jpg
48800a1983cbdc7818d70a0412fbd2bc.jpg
494d380967a21aefed5a430d3be53447.jpg
Waigeria ni maarufu kwa filamu zao za kichawi ila Waghana wao ni wachawi kweli
Wengi mnakumbuka Andre Ayew alivyoumbuliwa na kamera kwenye michuano ya AFCON 2017 akinyunyizia juju uwanjani ....Aibu yao !!
a6c85c9b2cbf0ab0716296362aa08e70.jpg

Jamaa wanaoaajua kutumia hadi witch fying gas wakati wabongo wa Sumbawanga wanatumia ungo
Kaa mbali na Waghana
........
Yelewiiii nina rafiki wa uko yupo tz kufanya research zake mbona waniogopesha
 
Ni kweli safari ya Kigamboni naitamani japo aunt yako ndo simuelewiiii...

Ila unajua kutyme binamu make nilijua ndo huji tena make kuku yuke nilijua namfaidii mwenyewe mara hodiii ukatingaaa...

Mdogo wake ana story nzuriii na ni charming wasemavyo wa China ...tuliongea mengi najua ulitamani uyasikie lakin siri yangu


Najua sana kuhusu mdogo wake, madada wa Mtwara hawafichani. Nilimuulizaga hivi;

Mimi: mbona unavaa nyingi sana?

Yeye: kwani hizi ni nyingi! Hujaziona za mdogo wangu.


Sasa hapo anko unadhani sijui nini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom