Makapuku Forum

Makapuku Forum

5/Uganda
03e809ca1499f68fe853ea6770068b48.jpg
eb365a6e0619af03e22d4f64304b7db2.jpg
8491fa14092d713c447fffd49918e799.jpg
Mashabiki wa Thimbwa timu yenu siku na miaka ya karibuni imekuwa anafanya vibaya sababu mmejaza washirikina(Waganda) juzi tu mmemrudisha kikosini babu Okwi
Asilimia kubwa ya Waganda wanaamini ushirikina
Huko nchini Uganda kuna kesi kibao zinazohusiana na ushirikina mfano mauaji ya vikongwe, mambo ya misukule na juzijuzi tumeona eti Ivan Semwaga akizikwa na maburungutu ya pesa eti kafara
........
Halafu nimeshangaa sana kumbe hawa jamaa hata sisi tuna nafuu.... Wenzetu wamezidi sana jamani
 
4/Colombia
6d43e6bacb698553b32572d452777964.jpg
5b433b56670915dec07ff9d5795e2e8c.jpg
e0a960a5e79967a4d28fdccfd3bf0347.jpg

Wakati Wabrazil wanajulikana kwa kushika ukristo kiasi cha kumjengea sanamu Yesu Kristo ndugu zao akina Radamel Falcao na James Rodriguez wao wamejikita katika kuabudu uchawi na ushirikina zaidi
Nfano kituo cha FOX kiliripoti mwaka 2012 kuhusu mwanamke wa Kicolombia kuuawa kwasababu za kishirikina ...watu walimchoka maana Alikuwa akiwatokea wanakijiji usiku wa manane kichawi
Hivyo ili kuepuka mauzauza wakansaka na kummaliza
......
Hata hawa pia 90% ni wakristu tena wakatoliki basi tu wanaamua kujitoa fahamu
 
3/Ghana
acc0b085ca27d118e511f78a5d05ec8a.jpg
48800a1983cbdc7818d70a0412fbd2bc.jpg
494d380967a21aefed5a430d3be53447.jpg
Waigeria ni maarufu kwa filamu zao za kichawi ila Waghana wao ni wachawi kweli
Wengi mnakumbuka Andre Ayew alivyoumbuliwa na kamera kwenye michuano ya AFCON 2017 akinyunyizia juju uwanjani ....Aibu yao !!
a6c85c9b2cbf0ab0716296362aa08e70.jpg

Jamaa wanaoaajua kutumia hadi witch fying gas wakati wabongo wa Sumbawanga wanatumia ungo
Kaa mbali na Waghana
........
Hapo Africa Magharibi ni shida
 
Kwenye maisha hua tunafanya mengi sana, mabaya mazuri na mengineyo meeengi. Ikitokea umemkwaza mtu kua mwepesi kujishusha thats how inatakiwa kuwa, ukiona umekosewa then kua muwazi kwa aliekukosea ili usjbaki na jaka la moyo.

Naomba kuwaomba radhi kwa yeyote anaejua nimemkosea by any means anisamehe na alienikwaza kwa vyovyote nimesamehe kwa moyo mweupe

U guys u were more than friends kwangu ni kama family

Nawaaga i wont be here kwa muda usiojulikana kidogo

I love ya'all.
 
2/DRC
bf637c760dd78267f0225273fd8ce60c.jpg
71654331709de2b14b2493561ad554ba.jpg
fac25412268397d1cb6e759a6cb754ea.jpg

Ni moja kati ya nchi maskini zaidi barani Afrika....ushirikina wao ndio umaskini wao
Wakati wanahangaika kurogani Wazungu wanachota tu madini yao(ni miongoni mwa nchi 5 wazalishaji wakubwa wa almasi duniani)
Hawa jamaa sijui wana tatizo gani maana pia ni matapeli wakubwa Achilia mbali Wanigeria
Laana ya ushirikina inawatafuna
.........
Kumbe hawa nao wamo?? Sikuwahi kuwafikiria
 
Kiunoni bana huoni baba d ndio anaposhinda huko na binamu labda akiniletea hizo nikimvalia anaweza tulia
Afu hivi hizo mavitu zinasaidia nini?

Manake kuna mahali nilipita nikakuta wanapinga kuhusu shanga na wakasema zamani zilivaliwa na wanawake zikiwa na maana fulani fulani...

Mfano; mwanamke akiwa kwenye hedhi atavaa shanga nyekundu so mme akiona tuu anaelewa No game, hivyo na zingine zilikuwa na maana zake pia..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom