shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
PatachimbikaAanze yeye kunipeleka kwanza
PatachimbikaAanze yeye kunipeleka kwanza
Mm kweliii??Ni hizo shanga 700 tu shemela kanogewa na kuhesabu
Mbuzi hanaKuku hana basi akichinja mbuzi niende nikachukue
Ha ahahahaj, kama wewe ni.mchezaji basi umekuja kwa mkopo. Siwezi kukuamini kucheza dakika 90 ⛹️

Uanzee weweAnza we kunipeleka kwa mama ashura halaf nakupeleka kwa bh
Ila nikitoka kapuku zinaanza upyaSana

Wewe ndio ebu ngoja nivae nione utatulia auMm kweliii??
Bata sili na kondoo shemela kambale nakula wakavu jamaan nilionaga kambale mbichi ana roho ngumu mpaka afe alikuwa anapigwa kichwaniMbuzi hana
Basi simpeleki kwa mama mchuchuUanzee wewe
InterestingTOP TEN
Uchawi upo au haupo ?
Umewahi kurogwa ?
Unaamini katika ushirikina/uchawi ?
Umewahi kwenda kwa sangoma kurekebisha mambo?
Majibu kaa nayo tu moyoni bwako hayanihusu.......
Binafsi siamini katika uchawi na ushirikina wala kuogopa eti kurogwa!! Mbona hawarogi makaratasi yageuke pesa ili tuondokane na hali ngumu ya awamu hii ya bwana Sizonje
Tupo karne ya 21 lakini kuna nchi kibao duniani bado zianaamini katika uchawi
Sasa nakuletea kumi kubwa ya nchi vinara kuamini uchawi na ushirikina duniani
karibuni
......
Nataka nijue binamu na me nimvalie baba d ujue labda hivyo cha kwangu kilivyo kitupu bila kitu ndio inasababisha atoke aje hukooo

Nimekumbukaa binamu.....aaah, anko haya mengine ni kama tulivyoongea!
Nikiapia hapa sitaaminika hata kidogo
Wachawi wakuu ni wanawake10/Saudi Arabia![]()
Ulifikiri washirikina wapo barani Afrika pekee ? Umepotea....Waarabu wa Asia nao wamo![]()
Kutokana na kukithiri kwa uchawi wa watu kuwangianausiku(sijui uchi) serikali ya Saudi Arabia ikaona isiwe tabu ikaanzisha kitengo Anti--witchcraft Unit maalum kusaka wachawi
Ukishikwa unajihusisha na uchawi adhabu yake ni kuchinjwa au kutupwa jela
Wachawi wakuu ni wanawake
Naishia hapa.....Believe me or NOT
.........

Kweli mke mwee
Yulee hana bhanaaaKwahiyo ndio ukaamua uhakikishe kwa mdogo wake mama ashura
Kidume changu kwenye ubora wakoNimekumbukaa binamu
Vipii mbona apa napokea beep ya yule wa tandika uliyosave sudan ...kuna nn leo
Alafu binamu uuwe unachagua bhas wa kuwapa namba make huu mchezo wa kubadilishana namba mm unanioneagaa
Kwahiyo eneo hilo sasa hivi hakuna tena wachawi?I seee! Hatari...upo mwaka pale KIBAHA..wakati wabutawalabwa Che...Nkapa walikuja watu na barua toka ikulu kuwa watoe wachawi..serikali za mtaa zisimamie..jamani niliona maajabu kwa macho yangu ..walikua da dawa unakunywa na unalipa elfu moja waliokataa wote walikufa..waliokunywa na kurudia wote hawapo,waliokunywa na kuacha uchawi wengi walifilisika hakika haya mambo uyasikie tu...
Ni nini kinakupeleka huko sasaYulee hana bhanaaa