BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
Safi inawezekana kutomwaga damuLeo Katika Historia:
1932 - Mapinduzi yasiyomwaga damu yanatokea huko Siam (Thailand) na kuangusha utawala wa Mfalme Prajadhipok.
Safi inawezekana kutomwaga damuLeo Katika Historia:
1932 - Mapinduzi yasiyomwaga damu yanatokea huko Siam (Thailand) na kuangusha utawala wa Mfalme Prajadhipok.
SafiiBado mnaangalia mwezi?
Mabibo jua limeandama hivyo kesho nachinja mbuzi
......
HahahahaHuo mie siutaki nishaalikwa tayali
PanapendezaTianzi mountains, China
![]()
Kama umeona movie ya Avatar
Kipo na baridi pia ipo.Nasikia kimvua dar kimepiga lazima leo uandamee
Karibu Sana mshikaji wanguAiseee
UtapendezaaMimi sijui ila tayari nina kanzu, kilemba na sandles matataaaa

Sheikh mkuu ametangaza jana ,EID ni jumatatuConfirmed?
Mbarikiwe sana ,Sheikh mkuu ametangaza jana ,EID JUMATATUMfungo 29 leo, hivyo mfungo unatimia leo au bado siku moja!
Karibu sanaAsante kwa taarifa makinifuuu...lakini mbona wameimizwa kupenda majirani zao ...tang asubuh nikigusa mwaliko eti niende kwa mama mchungajii
Unajua shemela unajuaje kama mtu anakupenda
Wewe ikitokea labda nina mikwaruzo na baba d huwa nakuona aisee huwa unaongea ya moyoni hutaki kuona me na baba d tupo tofauti sio kama wengine jamaan wanafurahi kuwa nimeachwa sijui tumeachana ndio maisha lakini unajua jinsi ya kuishi na kila aina ya mtu
Na mara nyingi upo upande wangu sio siri sikujui shemela lakini unaonekana una roho nzuri sababu ya kukuona hapa jukwaani pamoja na kuwa sijui unafananaje

Ubarikiwe mkuuAhsanteni wadau wote mlioniamsha asubuhi kwa mawili matatu
Nafikiri leo wengi tupo free kukinukisha kupelekea Eid
Niwatakie jumamosi njema
.........
Mkubwaa kwa BlessedH wakat na yeye anategemea mwaliko ..m![]()
![]()
![]()
Kuwa siliasi kwenye mambo ya msingi

KaribuniHahahaha subiria Kwa BlessedHope
Marahaba Niko salama Mungu mwemaMama yangu shikamoo umeamshwaje roho ya mukongo
Njema ubarikiwe Bailly5Habari za jumamosi
Morning Tetra ubarikiweMORNRING FAMILY
AbeeMama mchuchu