Makapuku Forum

Makapuku Forum

6643ebc7dbabd8949c71a06ddc1ba404.jpg
5658718c847250f30ba7f5cd2130c732.jpg
6a3a3ddb207f91f5c257104e2d8d0857.jpg
Huyu bwana ni rubani
Alikuwa akiwndesha ndege binafsi wakati anakatiza Mount Rainier akaviona vitu/object hivyo vikikimbia kwa kasi ya Maili 1200 kwa saa
Ilikuwa ni mara ya kwanza ....Habari ikaenea dunia nzima
......
I see
 
2013 - Waziri Mkuu wa zamani wa Italy, Silvio Berlusconi anakutwa na hatia ya kutumia vibaya madaraka yake na vilevile kutembea na watoto wadogo ( makahaba ) hivyo anahukumiwa kwenda jela miaka 7.

Pia aliwahi kumiliki klabu ya Ac Milan.
Yaani haya mambo yanafanywa na wengi lakini ni nani amfunge paka kengele? Ukweli wakifuatiliwa hakuna atakayebaki salama
 
2002 - Treni ya Abiria inagongana na Treni ya Mizigo eneo la Igandu na Msagali Mjini Dodoma na kuua watu 281.

Ndio ajali ya treni iliyoua watu wengi zaidi katika historia ya bara la Afrika.

Rais Mkapa akatangaza siku kadhaa za Maombolezo na maiti ziliwekwa uwanja wa Jamhuri ili watu watambue ndugu zao.
Wapumzike kwa amani marehemu wote
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom