Makapuku Forum

Makapuku Forum

Unajua shemela unajuaje kama mtu anakupenda

Wewe ikitokea labda nina mikwaruzo na baba d huwa nakuona aisee huwa unaongea ya moyoni hutaki kuona me na baba d tupo tofauti sio kama wengine jamaan wanafurahi kuwa nimeachwa sijui tumeachana ndio maisha lakini unajua jinsi ya kuishi na kila aina ya mtu

Na mara nyingi upo upande wangu sio siri sikujui shemela lakini unaonekana una roho nzuri sababu ya kukuona hapa jukwaani pamoja na kuwa sijui unafananaje
Hata Transcend huwa anafurahi wewe kuachwa?
 
Week end raha
446a8488499ff0392c411d4d700060b7.jpg

Ukimuona Husna mwambie aje kuuchukua mkoba wake aliousahau kabla mbuzi hawajautafuna
..
Oyooooooooooo!


Le mubasharaaaaz
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom