Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,870
Pamoja sanaAhsante mkuu Shululu kwa kunisogezea Font ferd kiganjani
Hata kuna wagombea watakatwa nahisiView attachment 529732Kutoka magazetini sina la ziada tukutane tena kesho Kwa udhamini mnono wa transcend, nawatakieni jumamos njema
Mama yangu shikamoo umeamshwaje roho ya mukongoUbarikiwe mkuu Shululu
Pamoja sana wadauAsante sana ankali kwa magazeti
Asantee mkuu
Daah nahisi nitasoma usiku kama nitaingia Baba D kuna vitu vimenibanaMorning kipenda rohooo
Leo ntajitahid niweke kama 3
MmhUkiona hivyo jambo linalofanana hilo li karibu kutokea![]()
Hahahah kwa dadii jamaanKipanya kanichekeshaa ..jamaa anaenda kushtaki
Safiii mshkaji wangu za we apoHabari za jumamosi
Hii unaonaje mchezaji kuchukua namba ya mchezaji mwingine mfano salah,
Uko poa mzee wa kitekwaa (shunie voiceMorning lee
Morning mkuuMORNRING FAMILY
Nzuriii mkuu uko poaa ??Habari za jumamosi
KaribuuAsante Lee wa Shunie ubarikiwe
Morning ankaliMorning all
Pamoja sana mkuuAsante mkuuu
Morning transcendMorning wakuu..
Unamanishaa wazee wa maeneo haya ??Simba hii sasa sifa jamaan mjue watakufwa hao jamaa
Shemela umeamkajeMorning to u shemela
Hahaha nikimuona tetra nakumbuka kipindi upo porini alivyokuwa anakuua na shemela shululuUko poa mzee wa kitekwaa (shunie voice