Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,228
- 68,246
Yuko vizuri, Joh Makini anakopi nankupest vitu vingi sana toka kwa KendrickMc wangu bora kwa siku za karibun
Yuko vizuri, Joh Makini anakopi nankupest vitu vingi sana toka kwa KendrickMc wangu bora kwa siku za karibun
Baba D umeamkaje asante kwa story ubarikiweKumekucha salama bandugu ...soon tupate UF..
jamaan binamu nini zaidi pole sana binamu yangu kipenziAnko, asante kunijulia hali. Siko salama kivile, sema tu nashukuru maumivu yamepungua baada ya kumuona dokta usiku.
Vipi wewe
shikamoo mama mchuchu umeamkaje mama yake shunieAsante sana![]()
ZABURI 5
3.BWANA, Asubuhi utaisikia sauti yangu. Asubuhi nitakupangia dua yangu na kutazamia.
Baba asante kutuamsha salama tunaomba toba kwa makosa yote tunayofanya kwa mawazo maneno na matendo tunaomba uturehemu,tunajikabidhibkwako jumamosi ya leo tuponye,tuongoze ,tutunze,tufariji sawa na mapenzi yako .Linda wasafiri tuokoe katika hatari zote za mwili na roho tunaomba yote kupitia mwanao Yesu Kristo Amen
SIKU NJEMA WAPENDWA MBARIKIWE![]()
![]()

na kwako pia mama ubarikiwe sanaUbarikiwe Lee wa Shunie siku njema
woiiiiiiii binamu unapona leoPole Obe unaendeleaje? Mungu akuponye, uko wapi nije nikuone nikujulie hali
huyo madega na malinzi wote ni walewale
Hahaa...nitaijaribu hii siku moja tena kwenye vodka ya Baba D akiwa ametoka


huyu rama katoka
shemela wa mie asante kwa magazetiView attachment 525394Mpaka hapo sina la ziada tukutane tena kesho Kwa udhamini mnono wa Mndali, nawatakieni siku njema
hahaha mpaka lile gazeti lao lingine la kiu wao ni korea tuHili gazetiii na korea jamaniii
mmh tumekoma jamaanKawaida lazima wikend ipigweee ....ila wale wakorofi wakuquote waache
1944 - Iceland inajipatia Uhuru wake toka kwa Denmark na kuwa Jamhuri.
we ni drUtanitag akijib
kweli aiseeUsajili wa Okwi ni upuuzi km usajili wa Ngassa Yanga
Okwi & Ngassa wa sasa hawana tofauti na Side Mnyamwezi wa timu yangu ya kitaa Mabibo labda majina tu
.
.
.
Ahsante kwa magazeti
..........
binamu yangu jamaan ushindwe wewe leo mama mchuchu huyo hapo anakufata ulipo na mm naumwa jamaanAnaumwa ujue nimemuomba tukamuone naomba twende wote
shem vipiiii muache mama aende mwenyeweSawa mama
Utanijuza akikubali tukamuone tumpatie neno na pole
endelea kuota ekyomaMchuchu shunie leo nimeota paja lako kama kweli lile ndo lako akiamungu nipo tyr kukupa mshahara wangu wote