BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
Njema Eden za uzima ubarikiweHabari makapuku forum mmeamkaje ?
Njema Eden za uzima ubarikiweHabari makapuku forum mmeamkaje ?
Mi Niko poa Mr peremende habari ya kuamkaNiajeeeee mkuu
OkHajasainiiii labda kama kasaini usikuu
Hahahaha freshMdau unakaa Kibaoni Zanzibar au ?
Maana upo nyuma sana kupata habari
Ibrahim Ajibu kasaini jana Jangwani miaka miwili
Mimi Yanga lakini Ajibu ni mmoja wa wachezaji wa Simba niliokuwa nawaelewa....mwingine ni Zimbwe Jr
......
Pamoja kiongoziTuwe na siku njema
Tetesi tu madengeOk
Labda tuseme "wameshamalizana" mi nilisoma page ya Yanga km sijakosea
......
Amen ubarikiweZABURI 5
3.BWANA, Asubuhi utaisikia sauti yangu. Asubuhi nitakupangia dua yangu na kutazamia.
Baba asante kutuamsha salama tunaomba toba kwa makosa yote tunayofanya kwa mawazo maneno na matendo tunaomba uturehemu,tunajikabidhibkwako jumamosi ya leo tuponye,tuongoze ,tutunze,tufariji sawa na mapenzi yako .Linda wasafiri tuokoe katika hatari zote za mwili na roho tunaomba yote kupitia mwanao Yesu Kristo Amen
SIKU NJEMA WAPENDWA MBARIKIWE![]()
![]()
Pedeshee mutu ya peremende niko powaaaMi Niko poa Mr peremende habari ya kuamka
Mbarikiwe waislamu wote tunawaombea heri Ramadhan KareemMfungu 22 leo, bado siku 7 au 8! Ramadhan Kareem.
Asante kwa magazeti shemejiView attachment 525394Mpaka hapo sina la ziada tukutane tena kesho Kwa udhamini mnono wa Mndali, nawatakieni siku njema
Mchuchu shunie leo nimeota paja lako kama kweli lile ndo lako akiamungu nipo tyr kukupa mshahara wangu wote

Habari ya uzima mkuuAmen![]()
![]()
Hakika nanuogopa sana tuwe waangalifu sana anaiba hadi watoto anakula naomba watu wachukue tahadhari alikiri mengi na akaokoa after few days akakutwa na kichwa cha mtoto aliyepotea mahali haki tujipange na anatimu kubwa hayupo pekeeVampire hawez acha
Pamoja kiongoziMtu akielekea kufanya mazungumzo ndio kitu kimekamilika au huu uandishi wa kishabiki.
Ahsante shululu wa Tumosa kwa magazeti mubashara na bila kumsahau mdhamini wetu Mndali ndanyelakakomu
Chalii, mpaka balehe imemkutia kwenye nondo za gereza.
Ni kwelii au magazeti ??Chalii, mpaka balehe imemkutia kwenye nondo za gereza.
Watu wana historia zao, ila huyo kama ingekuwa kimataifa basi ulimwengu ungejifunza mengi.
Ameen!Mbarikiwe waislamu wote tunawaombea heri Ramadhan Kareem
Au saizHajasainiiii labda kama kasaini usikuu
Apoo sawaAu saiz